Kusingekuwa na kifo maisha yangekuwa hayana maana

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Imagine tu mtu unaishi milele na milele hakuna mwisho maisha yangekuwaje? ,

Yaani unazaliwa na kuishi, bila kitu chochote we kila siku ni kuamka na kupambambania maisha ni nini hii kitu ingekuwa michosho,

Naamini kuna binadamu lazima wangetafuta namna nyingine ya kupumzika.

Kufa ni pumziko, tunaona maisha matamu ni kwa sababu kuna kifo.
Bila kifo maisha yangekuwa hayana maana yeyote.

Ni heri kufa kuliko kuishi milele pasipokuwa na Mwisho.


Cc Zero IQ.
 
Kwahyo ukimchinja mtu kichwa ukaondoka nacho atakua anatembea tuu na kuishi bila kichwa! Kweli wewe Zero IQ
 
Imagine tu mtu unaishi milele na milele hakuna mwisho maisha yangekuwaje? ,

Yaani unazaliwa na kuishi, bila kitu chochote we kila siku ni kuamka na kupambambania maisha ni nini hii kitu ingekuwa michosho,

Naamini kuna binadamu lazima wangetafuta namna nyingine ya kupumzika.

Kufa ni pumziko, tunaona maisha matamu ni kwa sababu kuna kifo.
Bila kifo maisha yangekuwa hayana maana yeyote.

Ni heri kufa kuliko kuishi milele pasipokuwa na Mwisho.


Cc Zero IQ.
Uwepo wa kifo unafanya kuishi kusiwe na maana.
Yaani hata ustruggle namna gani, bado utakufa tu.
Hata uishi vizuri namna gani bado utakufa tu.
Maisha hayana maana, ni bora kutokuwepo kabisa.
 
Tungeishi milele wala hata maisha yasingekua matamu, kusingekua na kusaidiana duniani kiwango Cha ubinafsi kingekua ni kikubwa sana hata baina ya mzazi na mtoto hakuna ambae angemjali mwenzake
 
Kwa hiyo kula tunda pale eden ilikuwa ni geresha tu yani wasingekula tunda wangetafutiwa sababu tu ili kifo kiwepo!


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kifo kingekuwepo lkn tofauti ni hiki kinachotupata; Wazazi wetu (Adam na Eva)wasingetenda ile dhambi tungekuwa tunakufa kifo cha starehe, yaani unajua utakufa lini halafu unafanya Sherehe kabisa na masela wako na inakuwa full shangwe kwasababu unajua unaelezea Mbinguni kwenye maisha ya Furaha isiyoelezeka.
 
Uwepo wa kifo unafanya kuishi kusiwe na maana.
Yaani hata ustruggle namna gani, bado utakufa tu.
Hata uishi vizuri namna gani bado utakufa tu.
Maisha hayana maana, ni bora kutokuwepo kabisa.
Point mkuu kutokana na kifo maisha hayana maana yaani hata siamini ufanyeje utakufa
 
Kuna maneno ya huu wimbo maisha yakiwa yamekupiga unaweza kuamua tu uende zako😔

"Why am I fighting to live if I 'm just living to fight?
Why am I dying to live if I'm just living to die?"
 
Kifo kingekuwepo lkn tofauti ni hiki kinachotupata; Wazazi wetu (Adam na Eva)wasingetenda ile dhambi tungekuwa tunakufa kifo cha starehe, yaani unajua utakufa lini halafu unafanya Sherehe kabisa na masela wako na inakuwa full shangwe kwasababu unajua unaelezea Mbinguni kwenye maisha ya Furaha isiyoelezeka.
Myths hizi mzee!
 
Back
Top Bottom