Kusimamishwa kwa diwani

Kusimamishwa kwa diwani

mtambo mlay

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele
 
Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele
Sina uhakika kama katiba inasema chochote kuhusu kusimamishwa kwa diwani aliyechaguliwa. Labda katiba mpya ndiyo imeongelea hilo. Ya zamani ipo kimya.
 
weka kwenye siasa,huku ni jukwaa la wasaka kazi
 
Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele

Wape tu ELIMU ya URAIA, watajua yote, mifano iwe mikwara ya babu aliyetendwa (yohana tendwa) anayekuwaga anaratibu chaguzi injini TZ
 
Back
Top Bottom