Kushuka kwa nauli jijini dar

Kushuka kwa nauli jijini dar

Wa nyamadyaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
1,178
Reaction score
529
Leo nimepanda daladala kutoka ninakoishi ambapo kwa kawaida huwa tunatozwa nauli ya 500 lakini leo nimetozwa 450 na baada ya kuliza na kufanya kautafiti kadogo nikaambiwa kwamba nauli imeshushwa jijini dar kuanzia leo,
Wana JF wenye taarifa sahihi tafadhar
 
Napita,tarudi baade na mie nijue kama nauli imeshuka!
 
Haijashushwa bali ndiyo bei yake. Makondakta huwa wanakata sh 500 kwa kuwa
kuna usumbufu wa kurudisha chenji ya sh 50, lakini kila unakotozwa sh 500
elewa kuwa umeibiwa sh 50. Habari ndo hiyo...
 
Sijapanda daladala mda mrefu so sijui nauli halisi...je hyo 450 kutoka wapi hadi wapi? Nauli kawaida ni sh 400.
 
Leo nimepanda daladala kutoka ninakoishi ambapo kwa kawaida huwa tunatozwa nauli ya 500 lakini leo nimetozwa 450 na baada ya kuliza na kufanya kautafiti kadogo nikaambiwa kwamba nauli imeshushwa jijini dar kuanzia leo,
Wana JF wenye taarifa sahihi tafadhar
Nashukuru Mkuu kwa kuja na taarifa mrejesho (feedback) ya nauli kushushwa.
Juzi kuna thread ililetwa hapa jamvini kuhusu UKATISHWAJI WA RUTI n.k.
Watu wenye dhamana na kazi zao wako makini na matatizo ya wananchi yatashughulikiwa kupitia vyombo husika. Tuwe wepesi kutoa taarifa kwenye vyombo husika na hapa Jamvini.
Walichokuwa wanafanya hawa Makondakta na Madereva ni wizi ..na Hilo suala limeanza kushughulikiwa na mamlaka husika.
Watanzania TUAMKE na kuanza kutoa ripoti kuhusu Uhujumu uchumi kuanzia ngazi za chini...tusilalamike tu Serikali haifanyi kazi. Tuisaidie Serikali na vyombo husika kutekeleza na kuwanyoosha wavunja sheria. PAMOJA TUNAWEZA.
 
Nashukuru Mkuu kwa kuja na taarifa mrejesho (feedback) ya nauli kushushwa.
Juzi kuna thread ililetwa hapa jamvini kuhusu UKATISHWAJI WA RUTI n.k.
Watu wenye dhamana na kazi zao wako makini na matatizo ya wananchi yatashughulikiwa kupitia vyombo husika. Tuwe wepesi kutoa taarifa kwenye vyombo husika na hapa Jamvini.
Walichokuwa wanafanya hawa Makondakta na Madereva ni wizi ..na Hilo suala limeanza kushughulikiwa na mamlaka husika.
Watanzania TUAMKE na kuanza kutoa ripoti kuhusu Uhujumu uchumi kuanzia ngazi za chini...tusilalamike tu Serikali haifanyi kazi. Tuisaidie Serikali na vyombo husika kutekeleza na kuwanyoosha wavunja sheria. PAMOJA TUNAWEZA.

Mkuu upo sahihi kabisa
Wananchi wanatakiwa wajue haki zao na wasisubiri kutetewa wajibu wao ni kutoa taarifa kwa Mamlaka stahili muda na wakati wowote wanapobaini ukikwaji wa taratibu na sheria zilizowekwa
"NI SISI TWAWEZA"
 
atutaki watoto wa form2 humu, nenda facebook kaongee utumbo wako
 
Leo nimepanda daladala kutoka ninakoishi ambapo kwa kawaida huwa tunatozwa nauli ya 500 lakini leo nimetozwa 450 na baada ya kuliza na kufanya kautafiti kadogo nikaambiwa kwamba nauli imeshushwa jijini dar kuanzia leo, Wana JF wenye taarifa sahihi tafadhar

Nauli haijashushwa bali inawezekana ulikuwa unaibiwa tena mchana kweupe.

Kwa kawaida nauli Dar zilitakiwa kuwa, 400, 450, 600, na 750 kulingana na umbali wa safari.

Inaonekana badala ya kutozwa 400 au 450 ulikuwa unatozwa 500 halafu ukaona ni sawa tuu.

Tatizo bongo watu wakiibiwa wala hawajiulizi. Ndiyo maana ikaitwa Bongo tambarare.

Bongo unakula utakavyo maana wenye jiji don't give a damn really.

Ukiwapa haki yao watakushukuru ile mbaya na kukuona kama umeshuka mbinguni vile.

Tatizo la hii nchi siyo viongozi wake, bali ni wananchi wake. Rahisi sana kuwaibia.

Wanaibiwa mpaka na makonda, sembuse itakuwa viongozi wao na makapuni kutoka nje ya nchi?

Ngoja niwapongeze hawa makonda kwa kuwaingiza mjini wenye jiji.

[video=youtube_share;T7EQKJ_2L-4]http://youtu.be/T7EQKJ_2L-4[/video]
 
Nauli haijashushwa bali inawezekana ulikuwa unaibiwa tena mchana kweupe.

Kwa kawaida nauli Dar zilitakiwa kuwa, 400, 450, 600, na 750 kulingana na umbali wa safari.

Inaonekana badala ya kutozwa 400 au 450 ulikuwa unatozwa 500 halafu ukaona ni sawa tuu.

Tatizo bongo watu wakiibiwa wala hawajiulizi. Ndiyo maana ikaitwa Bongo tambarare.

Bongo unakula utakavyo maana wenye jiji don't give a damn really.

Ukiwapa haki yao watakushukuru ile mbaya na kukuona kama umeshuka mbinguni vile.

Tatizo la hii nchi siyo viongozi wake, bali ni wananchi wake. Rahisi sana kuwaibia.

Dah! Leo ndo mumeniamsha kiukweli nilikuwa naibiwa dah!
 
mbona mi napanda mia tatu kila siku ubungo bugulun / ubungo vingunguti/ubungo kariakoo ila sio asbuh au jion hapo utalipa hata elf hyo nyomi bona
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom