Kushughulisha akili, kunapunguza kuzeeka haraka

Kushughulisha akili, kunapunguza kuzeeka haraka

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,232
Reaction score
62,394
Ukishughulisha akili mara kwa mara, kunapunguza kuzeeka kwa haraka. Kwa wale wanaotumia muda mwingi kusoma soma vitabu mbalimbali, habari mbali mbali mitandaoni, kuandika vitabu, kufanya tafiti mbali mbali, kutumia muda mwingi kufikiri, kufundisha wanafunzi n.k huwa hawazeeki haraka.

Kwa mantiki hiyo, kama hutaki kuzeeka haraka; tunatakiwa tushughulishe akili zetu; tenga hata muda, kwa siku usome angalau kurasa tano tu za kitabu n.k. Baada ya hapo makunyanzi yatachelewa kuja.
 
WALIMU NDO WATU WATU WASIO TUMIA AKILI KABISA KUISHI KWA SABABU HUFANYA KITU KILE KILE MAISHA YAO YOTE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom