Dah.... Hivi kung'oa mizizi ya kifisadi.....kuwajibisha wazembe na wala rushwa...kuwatimulia mbali wezi wa Mali ya umma.....kula kwa jasho ni jambo baya?
Mlizoeya kupiga bila jasho sasa mnatapatapa....na kwa taarifa yenu hili sio la CCM...ila ni LA watanzania wenye nia njema ya dhati na nchi hii... Tulionewa kiasi cha kutosha......Tukapuuzwa mno.....Tukaibiwa sana tu.... Sasa ni zamu ya wachapakazi na wanyonge
Dah.... Hivi kung'oa mizizi ya kifisadi.....kuwajibisha wazembe na wala rushwa...kuwatimulia mbali wezi wa Mali ya umma.....kula kwa jasho ni jambo baya?
Mlizoeya kupiga bila jasho sasa mnatapatapa....na kwa taarifa yenu hili sio la CCM...ila ni LA watanzania wenye nia njema ya dhati na nchi hii... Tulionewa kiasi cha kutosha......Tukapuuzwa mno.....Tukaibiwa sana tu.... Sasa ni zamu ya wachapakazi na wanyonge
Duh!kweli picha inajieleza!!!!!!!!!!