Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,738
- 218,327
Yawezekana .Uhuru ni tambiko la CCM.
KabisaYawezekana .
Sio lazima uelewe kila kitu.Nimetafakari sana kuhusiana na sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika zinazofanyika tarehe 9 Dec ya kila mwaka sijaelewa maana yake , maana sherehe hizi zinaipaisha nchi ambayo haipo Tanganyika na kuizamisha nchi halisi ya Tanzania ambayo ipo na ambayo siku yake ya kuzaliwa ipo pia .
Unawezaje kusherehekea Birthday ya aliyekufa ama kuuawa ?
Bado sijaelewa .
Kwenye hotuba zao nasikia wakitaja eti uhuru wa Tanzania bara .Mkuu, umeniwahi. Nilikuwa najiuliza, Uhuru unaosheherekewa ni wa nchi gani? Kama ni Tanzania, haijawahi kutawaliwa kwakuwa ni muunganiko wa nchi mbili huru. Na kama tunaizungumzia Tanganyika, iko wapi kwenye ramani ya dunia?
Zanzibar, wanaposheherekea mapinduzi yao, ni kwasababu Zanzibar bado ipo na ina SMZ. Jana nilisikia jamaa anasema, "Tanganyika watuache sisi twende CAF"
Kama vipi tuambiwe tu kuwa tuna TATU BOMBA!
Ni haki yangu .Sio lazima uelewe kila kitu.
Hiyo sherehe ni kama kumbukumbu.Nimetafakari sana kuhusiana na sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika zinazofanyika tarehe 9 Dec ya kila mwaka sijaelewa maana yake , maana sherehe hizi zinaipaisha nchi ambayo haipo Tanganyika na kuizamisha nchi halisi ya Tanzania ambayo ipo na ambayo siku yake ya kuzaliwa ipo pia .
Unawezaje kusherehekea Birthday ya aliyekufa ama kuuawa ?
Bado sijaelewa .
Hukumbukwa kwa birthday ?
Hiyo sherehe ni kama kumbukumbu.
Hata binadamu aliyekwisha kufa 'marehemu' hukumbukwa, na kuswaliwa
SUBIRI MATUSI KUTOKA CHAMA CHA MASHETANI WANAOADHIMISHA MATAMBIKO YAO THEN WANAJIFICHA HUKO KWENYE KIVULI CHA UHURU.Nimetafakari sana kuhusiana na sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika zinazofanyika tarehe 9 Dec ya kila mwaka sijaelewa maana yake , maana sherehe hizi zinaipaisha nchi ambayo haipo Tanganyika na kuizamisha nchi halisi ya Tanzania ambayo ipo na ambayo siku yake ya kuzaliwa ipo pia .
Unawezaje kusherehekea Birthday ya aliyekufa ama kuuawa ?
Bado sijaelewa .
Haha Tanganyika ilikufa 1964Nimetafakari sana kuhusiana na sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika zinazofanyika tarehe 9 Dec ya kila mwaka sijaelewa maana yake , maana sherehe hizi zinaipaisha nchi ambayo haipo Tanganyika na kuizamisha nchi halisi ya Tanzania ambayo ipo na ambayo siku yake ya kuzaliwa ipo pia .
Unawezaje kusherehekea Birthday ya aliyekufa ama kuuawa ?
Bado sijaelewa .
NdioHukumbukwa kwa birthday ?
MKUU WANAPOSEMA MWENGE UNAZINDUA,ALIZINDIKA NANI NA LINU MRADI HUSIKA ULIZINDIKWA HADI MWENZE UFIKE KUZINDUA?si sawa na kukimbiza mwenge uangaze na kuleta mwanga badala yake unaleta giza kwani miradi mingi inazinduliwa kwenye mbio za mwenge 97% inakufa mapema kwa kukosa ubora
haahhaah Uhuru wa Tanzania baraKwenye hotuba zao nasikia wakitaja eti uhuru wa Tanzania bara .
Nimetafakari sana kuhusiana na sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika zinazofanyika tarehe 9 Dec ya kila mwaka sijaelewa maana yake , maana sherehe hizi zinaipaisha nchi ambayo haipo Tanganyika na kuizamisha nchi halisi ya Tanzania ambayo ipo na ambayo siku yake ya kuzaliwa ipo pia .
Unawezaje kusherehekea Birthday ya aliyekufa ama kuuawa ?
Bado sijaelewa .
Hii bendera ipo kweli ?