Uguswelana chane
Member
- Oct 24, 2019
- 14
- 38
Kushangilia ununuzi wa ndege wakati Tanzania bado kuna shida kubwa ya maji, miundombinu, umeme, ajira na kilimo ni kukosa vipaumbele katika maisha.
Kuna tofauti kubwa kati ya "Think Smart" na "Think Big". Katika maisha ya sasa ni bora wanao kuzomea kuliko wanao kushangilia.
Time will tell.
Kuna tofauti kubwa kati ya "Think Smart" na "Think Big". Katika maisha ya sasa ni bora wanao kuzomea kuliko wanao kushangilia.
Time will tell.