Kwamba yeye ndio rais wa Zanzibar mpaka awekese uko auIla samia akiwekeza kwao mnamlaumu
Kwani chato sio Tanzania? Bwawa la nyelele lilijengwa chato?Sgr ilijengwa chato? Mwendokas ilijengwa chato?Erimu bule ilikua chato tu?Vitani yule ni mnyanyasaji kisiri alikuwa anapeleka mali kwao kijiji kimemeremeta utazani ndio nje ya nchi akawawekea hadi mbuga unataka au hutaki. Chato . Hapana vifi vya watu kwa stress wananchi kwa viongozi vingeongezeka ogopa mtu akicheka nawewe na kukuadhibisha baadae .
Mmevuta bangi naye saivi baadae anakuuliza umetoa wApi nani kakupa huna kazi hii ni mbaya sana
Huyo sanene arikua na faida gani km arishilikiana na madora ya kigen aristahili kufa tuTanesco ni zao la ccm,huwezi kuwatenganisha,maoni yangu president magufuli alinipotezea member niliyekuwa na mfollow humu Mr Saanane, wengi wameshamsahau na maisha kwao yanaendelea,familia yake hawajui kama leo wamekula
R na L 🤣🤣Kwani chato sio Tanzania? Bwawa la nyelele lilijengwa chato?Sgr ilijengwa chato? Mwendokas ilijengwa chato?Erimu bule ilikua chato tu?
Huyu wa sasa kira kitu anapereka visiwan kira kitu Zanziba mbona husemi
"Na Mimi nataka niseme, Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"Ukweri mchungu utabaki kuwa magufuri alikua shujaa na rais bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa.
Historia vizazi na vizazi vitazidi kumkumbuka huyu shujaa kutokea Chato.
Haitokaa ije kutokea tukapata rais mchapakazi kama yule kire chuma kingekuwepo hadi sasa tungekua tulishasahau shida za umeme na bwawa lilishafanya kazi hadi tushasahau
Angekua ashawaza chanzo kingine kikubwa cha umeme
Sgr ingekua tulishafiri zamani mpaka dodoma na Singida sasahv ungekuta amarizia kipande cha Kigoma na Mwanza
Jiulize aliwezaje umeme ulikua umeimarika sana hapa nchini hakukua na mambo mengi
Nauri ungekuta hazijapanda hivi
Angekuwepo mafuta yangekua bei rahis sana
Angekuwepo tungekua na miladi ya kimkakati mingi sana
Angekuwepo sahv tungekua na mambo ya afya bure baada ya elimu bure
Tusingekua na changamoto za kutisha kabisa Lakini mlithi wake kafanya nini, anaweza nini au anajua nini? Ukifatiria utagundua kuna watu wanakariri tu vya kusema ili siku ziende ni kama huyu mama ametugaya kweri
Magufuri atabaki kuwa rais bola kuwahi kutokea katika histolia ya nchi yetu alikua chuma,jemedali na mzarendo kweri kweri kipindi cha jpm hakukua na mambo ya hovyo,kizembe ya kipumbavu kama mengi yanayotokea sasa lala sarama shujaa wewe ndo rais bora hapa Tanzania na hakuna rais atakayetokea kama wewe.
Ushawaza jpm hadi sasa angekua hai mambo ya umeme yangekuaje? Kire kirikua chuma cha reli
🤣Hakuna rorote jipya
Miaka sita madarakani lkn hapakuwa na hali mbaya, sembuse hy miaka minne iliyobaki.?Tungekuwa na hali mbaya sana kiuchumi. Tungepigwa vikwazo vikali
Hasa wale wahujumu uchumi na wale midomo kupayuka.....na tungekuwa tumejaza makaburi ya watu kutoka Dar hadi Morogoro
Wewe sio mtanzania. Kazikwe pembeni ya kaburi lake kuonyesha upendoMagufuli angekuwa hadi leo hii tungekua mbali sana.
1. Shida za umeme tulishasahau unit moja ya umeme ingekua inauzwa 50 au 30
2. Tulishamaliza bwawa kitambo na tulishasahau na sahivi labda tuna miradi mingine ya umeme.
3. Tanzania ingekua kinara wa kuuza umeme nje.
4. Shida za maji hazipo
5. Tungekuwa na bima ya afya kwa kila mtu kwa wote au huduma ya afya bure.
6. Sahivi angekua ashakamilisha miradi mingi kwahiyo angekua ashaanza kumwaga ajira na kupandisha mishahara kedekede.
7. Mafuta yangekua chee na nauli zingekua chini.
8. Tanzania ingekua bora Afrika na duniani kwa mambo mengi.
9. Sahivi kila mahali ungeona barabara nyingi sana
10. Majambazi, wahuni, wahujumu uchumi, wazee wa unanijua mimi ni nani tungekuwa tunasoma tu hadithi zao kuwa waliwahi kuwepo.
Kingine ongezea hapo
11?
12?
Wewe ni pro max kwenye kuchanganya L na RHakuna rorote jipya
🤣 Daah jamaa ananiacha hoi sana, huo mchanganyo ni nomaWewe ni pro max kwenye kuchanganya L na R
JehanamMagufuli angekuwa hadi leo hii tungekua mbali sana.
1. Shida za umeme tulishasahau unit moja ya umeme ingekua inauzwa 50 au 30
2. Tulishamaliza bwawa kitambo na tulishasahau na sahivi labda tuna miradi mingine ya umeme.
3. Tanzania ingekua kinara wa kuuza umeme nje.
4. Shida za maji hazipo
5. Tungekuwa na bima ya afya kwa kila mtu kwa wote au huduma ya afya bure.
6. Sahivi angekua ashakamilisha miradi mingi kwahiyo angekua ashaanza kumwaga ajira na kupandisha mishahara kedekede.
7. Mafuta yangekua chee na nauli zingekua chini.
8. Tanzania ingekua bora Afrika na duniani kwa mambo mengi.
9. Sahivi kila mahali ungeona barabara nyingi sana
10. Majambazi, wahuni, wahujumu uchumi, wazee wa unanijua mimi ni nani tungekuwa tunasoma tu hadithi zao kuwa waliwahi kuwepo.
Kingine ongezea hapo
11?
12?
Hovyo kabisa,wewe mtu alikuwa anapora pesa za wafanyabiashara na wawekezaji walikimbia unadhani Hali ingekuwaje?Magufuli angekuwa hadi leo hii tungekua mbali sana.
1. Shida za umeme tulishasahau unit moja ya umeme ingekua inauzwa 50 au 30
2. Tulishamaliza bwawa kitambo na tulishasahau na sahivi labda tuna miradi mingine ya umeme.
3. Tanzania ingekua kinara wa kuuza umeme nje.
4. Shida za maji hazipo
5. Tungekuwa na bima ya afya kwa kila mtu kwa wote au huduma ya afya bure.
6. Sahivi angekua ashakamilisha miradi mingi kwahiyo angekua ashaanza kumwaga ajira na kupandisha mishahara kedekede.
7. Mafuta yangekua chee na nauli zingekua chini.
8. Tanzania ingekua bora Afrika na duniani kwa mambo mengi.
9. Sahivi kila mahali ungeona barabara nyingi sana
10. Majambazi, wahuni, wahujumu uchumi, wazee wa unanijua mimi ni nani tungekuwa tunasoma tu hadithi zao kuwa waliwahi kuwepo.
Kingine ongezea hapo
11?
12?