Katili sana wewe, mahakama ndizo zenye uwezo wa kuhukumu, muuaji mkuu wewe, wapi Mr. Saanane?Miaka sita madarakani lkn hapakuwa na hali mbaya, sembuse hy miaka minne iliyobaki.?
Hasa wale wahujumu uchumi na wale midomo kupayuka
Katili sana wewe, mahakama ndizo zenye uwezo wa kuhukumu, muuaji mkuu wewe, wapi Mr. Saanane?Miaka sita madarakani lkn hapakuwa na hali mbaya, sembuse hy miaka minne iliyobaki.?
Hasa wale wahujumu uchumi na wale midomo kupayuka
😂😂 KivumbiKatili sana wewe, muuaji mkuu wewe
Chukulia vya Zanzibar zije kuboresha bara huoni vita hapo mkuuIla samia akiwekeza kwao mnamlaumu
Ukweri mchungu utabaki kuwa magufuri alikua shujaa na rais bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa.
Historia vizazi na vizazi vitazidi kumkumbuka huyu shujaa kutokea Chato.
Haitokaa ije kutokea tukapata rais mchapakazi kama yule kire chuma kingekuwepo hadi sasa tungekua tulishasahau shida za umeme na bwawa lilishafanya kazi hadi tushasahau
Angekua ashawaza chanzo kingine kikubwa cha umeme
Sgr ingekua tulishafiri zamani mpaka dodoma na Singida sasahv ungekuta amarizia kipande cha Kigoma na Mwanza
Jiulize aliwezaje umeme ulikua umeimarika sana hapa nchini hakukua na mambo mengi
Nauri ungekuta hazijapanda hivi
Angekuwepo mafuta yangekua bei rahis sana
Angekuwepo tungekua na miladi ya kimkakati mingi sana
Angekuwepo sahv tungekua na mambo ya afya bure baada ya elimu bure
Tusingekua na changamoto za kutisha kabisa Lakini mlithi wake kafanya nini, anaweza nini au anajua nini? Ukifatiria utagundua kuna watu wanakariri tu vya kusema ili siku ziende ni kama huyu mama ametugaya kweri
Magufuri atabaki kuwa rais bola kuwahi kutokea katika histolia ya nchi yetu alikua chuma,jemedali na mzarendo kweri kweri kipindi cha jpm hakukua na mambo ya hovyo,kizembe ya kipumbavu kama mengi yanayotokea sasa lala sarama shujaa wewe ndo rais bora hapa Tanzania na hakuna rais atakayetokea kama wewe.
Ushawaza jpm hadi sasa angekua hai mambo ya umeme yangekuaje? Kire kirikua chuma cha reli
Haitowezekanaga kabisa maana sio bara ni visiwaniChukulia vya Zanzibar zije kuboresha bara huoni vita hapo mkuu
Daaaa! JPM, kila nikiona jinamizi la sasa nabaki kulia. Umetuachia mateso Rais wetuMagufuli angekuwa hadi leo hii tungekua mbali sana.
1. Shida za umeme tulishasahau unit moja ya umeme ingekua inauzwa 50 au 30
2. Tulishamaliza bwawa kitambo na tulishasahau na sahivi labda tuna miradi mingine ya umeme.
3. Tanzania ingekua kinara wa kuuza umeme nje.
4. Shida za maji hazipo
5. Tungekuwa na bima ya afya kwa kila mtu kwa wote au huduma ya afya bure.
6. Sahivi angekua ashakamilisha miradi mingi kwahiyo angekua ashaanza kumwaga ajira na kupandisha mishahara kedekede.
7. Mafuta yangekua chee na nauli zingekua chini.
8. Tanzania ingekua bora Afrika na duniani kwa mambo mengi.
9. Sahivi kila mahali ungeona barabara nyingi sana
10. Majambazi, wahuni, wahujumu uchumi, wazee wa unanijua mimi ni nani tungekuwa tunasoma tu hadithi zao kuwa waliwahi kuwepo.
Kingine ongezea hapo
11?
12?
Wema hawana maisha!Ukweri mchungu utabaki kuwa magufuri alikua shujaa na rais bora kuwahi kutokea Tanzania na Africa.
Historia vizazi na vizazi vitazidi kumkumbuka huyu shujaa kutokea Chato.
Haitokaa ije kutokea tukapata rais mchapakazi kama yule kire chuma kingekuwepo hadi sasa tungekua tulishasahau shida za umeme na bwawa lilishafanya kazi hadi tushasahau
Angekua ashawaza chanzo kingine kikubwa cha umeme
Sgr ingekua tulishafiri zamani mpaka dodoma na Singida sasahv ungekuta amarizia kipande cha Kigoma na Mwanza
Jiulize aliwezaje umeme ulikua umeimarika sana hapa nchini hakukua na mambo mengi
Nauri ungekuta hazijapanda hivi
Angekuwepo mafuta yangekua bei rahis sana
Angekuwepo tungekua na miladi ya kimkakati mingi sana
Angekuwepo sahv tungekua na mambo ya afya bure baada ya elimu bure
Tusingekua na changamoto za kutisha kabisa Lakini mlithi wake kafanya nini, anaweza nini au anajua nini? Ukifatiria utagundua kuna watu wanakariri tu vya kusema ili siku ziende ni kama huyu mama ametugaya kweri
Magufuri atabaki kuwa rais bola kuwahi kutokea katika histolia ya nchi yetu alikua chuma,jemedali na mzarendo kweri kweri kipindi cha jpm hakukua na mambo ya hovyo,kizembe ya kipumbavu kama mengi yanayotokea sasa lala sarama shujaa wewe ndo rais bora hapa Tanzania na hakuna rais atakayetokea kama wewe.
Ushawaza jpm hadi sasa angekua hai mambo ya umeme yangekuaje? Kire kirikua chuma cha reli
Si maji yatakuwa yanazidi kipimo? Maana mvua nyingi zinajaza matope na kuleta mafuriko. Badae tena,kiangazi,maji yatakuwa yanapungua sana,hicyo machine hazitapata maji ya kutosha kuzalisha umeme.Kwenye suala la tanesco ni tatiźo haswaa tangu Magu aondoke, tuone huo mtambo wao wa majaribio kama nikweli tatizo litaisha itakua jambo la kheri
Kwenu hamziki tangia Magufuli azikwe au kabla ya kuwa rais na Amiri Jeshi Mkuu wa JMT.....na tungekuwa tumejaza makaburi ya watu kutoka Dar hadi Morogoro
Simply tungalikua North Korea of Africa.Tungekuwa na hali mbaya sana kiuchumi. Tungepigwa vikwazo vikali
Nani angewaruhusu mjaze hayo makaburi Dar Hadi morogoro?.....na tungekuwa tumejaza makaburi ya watu kutoka Dar hadi Morogoro
Maamuzi magumu yanahitajika kukuza uchm wa inch.Wapumbavu wengi sana wangekuwa wamekufa na mambo mengi sana mazuri yangekuwa yameshafanyika.
Hii nchi inahitaji maamuzi na sio blah blah, na wapumbavu wengi wanapaswa kufa kama kuku na familia zao.
Mbona sasa mnajaza makaburi ya wanaootembea kwa ngoma na hamsemi?!.....na tungekuwa tumejaza makaburi ya watu kutoka Dar hadi Morogoro