Kuscratch kwa ITV kupitia Star Times

Kuscratch kwa ITV kupitia Star Times

Mjomba Mkude

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
287
Reaction score
119
Wakuu,kwa kipindi cha wiki sasa ITV kupitia Star Times imekuwa ikiscratch sana hasa kuanzia mida ya saa mbili usiku. Naomba kujua kama kuna mtu ameona tatizo hili. Isije kuwa ni hujuma za TBC za kutaka tuangalie taarifa ya habari ya TBC badala ya ITV.
 
Achana na startimes mimi kisembuzi changu cha startimes nilikitupa siku nyingi
 
Itakuwa ni mambo ya bad reception tu, niko Azam sasa nacheki habari ITV iko shwariii kabisa!
 
Mimi nilidhani kwangu tu,kumbe na kwingine pia,halafu muda ni huo huo.Nadhani startimes wamezidiwa na wateja wakati uwezo wao ni mdogo.
 
Mm nko kwenye dish, TBC na startv kwenye habari naona mpaka vinyweleo ...nkienda ITV...geuza set vyovyote vile naona tu picha zimevurugika sauti hakuna, sijaelewa y....
 
Mm nko kwenye dish, TBC na startv kwenye habari naona mpaka vinyweleo ...nkienda ITV...geuza set vyovyote vile naona tu picha zimevurugika sauti hakuna, sijaelewa y....

Mm naangalia habar itv kila siku kupitia star dish sijaona tatizo
 
Mimi natumia CONTINENTAL, ina scratch kila siku tarfa ya habari ikikaribia, leo ndo ina scratch zaidi!
 
Mimi siipati clouds tv na capital ktk king'amuzi hiki...nimenunua Juzi tuu.
 
Watu wa ITV tupeni majibu,leo nimekosa kutazama habari na kipima joto.
 
Daah..sekulu hawa jamaa hata mm wanichosha sana..mimi nlithania ni pekeangu bwana..nimezungusha antena hadi nimechoka..!!nawapa siku mbili tu kama vipi nahamia kwenye kisembuzi kingine..nyambaaaf..!!
 
Wakuu,kwa kipindi cha wiki sasa ITV kupitia Star Times imekuwa ikiscratch sana hasa kuanzia mida ya saa mbili usiku. Naomba kujua kama kuna mtu ameona tatizo hili. Isije kuwa ni hujuma za TBC za kutaka tuangalie taarifa ya habari ya TBC badala ya ITV.

Hamia DSTV
 
Back
Top Bottom