Kusafirisha vijiti vya mihogo

Kusafirisha vijiti vya mihogo

Cofok

Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
20
Reaction score
12
Habari wakuu,

Naomba muongozo kwa wenye uzoefu,

Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi,

Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu
Asanteni.
 
Hapo lazima uwe na Vibali mimemea pia wanaangalia isije kuwa na Magonjwa hapo sasa malizana na upande wa zamani
 
Back
Top Bottom