C Cofok Member Joined Apr 21, 2025 Posts 20 Reaction score 12 Oct 21, 2025 #1 Habari wakuu, Naomba muongozo kwa wenye uzoefu, Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi, Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu Asanteni.
Habari wakuu, Naomba muongozo kwa wenye uzoefu, Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi, Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu Asanteni.
Troll JF Platinum Member Joined Feb 6, 2015 Posts 9,282 Reaction score 13,712 Oct 21, 2025 #2 Hapo lazima uwe na Vibali mimemea pia wanaangalia isije kuwa na Magonjwa hapo sasa malizana na upande wa zamani
Hapo lazima uwe na Vibali mimemea pia wanaangalia isije kuwa na Magonjwa hapo sasa malizana na upande wa zamani
C Cofok Member Joined Apr 21, 2025 Posts 20 Reaction score 12 Oct 22, 2025 Thread starter #3 Troll JF said: Hapo lazima uwe na Vibali mimemea pia wanaangalia isije kuwa na Magonjwa hapo sasa malizana na upande wa zamani Click to expand... Asante
Troll JF said: Hapo lazima uwe na Vibali mimemea pia wanaangalia isije kuwa na Magonjwa hapo sasa malizana na upande wa zamani Click to expand... Asante