Kusafiri unguja Toka Bara unahitaji passport?

Kusafiri unguja Toka Bara unahitaji passport?

Beba kitambulisho chochote chenye jina lako kite cha Taifa,mpiga kura,leseni au barua ya utambulisho wa serikali za mtaa ili ukate tiketi bila usumbufu na kule Unguja unaposhuka mtakaguliwa vitambulisho na watu wa uhamiaji kabla ya kutoka Bandarini.
 
Kitambulisho cha mkazi, leseni ya udereva, kitambulisho cha utaifa, pasi ya kusafiria hivyo vinaweza kukusaidia kufika kule. Kuanzia kukata ticket ya marine hadi unapotoka bandarini kule unguja japo mara chache hufuatilia unapotoka bandarini.
 
Sio kweli. Ila unahotaji kitambulisho tu aidha cha kura ama leseni ya udereva au kadi ya NIDA
Na wenyewe wanapokuja huku Tanganyika huwa wanahitajika kuwa na hivyo vitambulisho?
 
Unguja ni Tanzania pia! Kinachohitajika ni uthibitisho tu kuwa wewe ni Mtanzania.
Sasa mbona Ipo siku walikagua simu Kwa kupiga*106# Ili kujiridhisha kuhusu usajili ikiwa jina linalosoma ndilo lipo kwenye kitambulisho...afu ukaguzi wenyeww wa kipolisi Polisi wa mashaka kana kwamba wote watuhumiwa
 
Back
Top Bottom