Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
Kwakweli, na ukute umepata wa kukupa hiyo furahaMapenzi ni starehe ..
Kwakweli, na ukute umepata wa kukupa hiyo furahaMapenzi ni starehe ..
Hahahaha acha tu mpendwaKwakweli, na ukute umepata wa kukupa hiyo furaha
Sasa kama ni starehe mbona huwa mnatudai hela?Mapenzi ni starehe ..
Kuna watu hiyo starehe wanaisikia tuu.Mapenzi ni starehe ..
Umeshaoa lakini au unaulizia kwa interest tu?kama umeashaoa,ulishawahi kuambiwa niongezee kingine sijatosheka au wewe tu na kiherehere chako unafikiri kuwa anataka kuongezewa kingine na kimoja huwa hakitoshi...?
kitu kitamu chochote chenye kukupa starehe lazima ulipie..Sasa kama ni starehe mbona huwa mnatudai hela?
Pole ziwafikieKuna watu hiyo starehe wanaisikia tuu.
Mbona ninyi huwa mnapata utamu pia ila hamdaiwi hela?kitu kitamu chochote chenye kukupa starehe lazima ulipie..
Ila pole kwa kudaiwa pesa
jaji mfawidhi, Kumbe Mkuu wewe ni Ke?.
kumbe!!!.Pia SAA nyengine ni mwanaume hana tofauti na yule member anaejiita sexless
Unasemaje jaji mfawidhi! Dah!!!Sisi huwa tunawaonea huruma namna mnavyohema kama mashine ya kukoboa ndiyo maana huwa hatuwaambii muongeze kingine.
Lakini pia hata mkiongeza cha pili huwa haturidhiki, ukitaka kujua nimeridhika baada ya kujozo hata kama ni la kwanza UTAONA NIMESINZIA kama pono., na hii ni kwa wanawake wote.
Amedanganya?Unasemaje jaji mfawidhi! Dah!!!
Mimi sijui kwa vile sio mdada!! Je, amedanganya?(on a woman's perspective)Amedanganya?
Mimi sijui kwa vile niko singoMimi sijui kwa vile sio mdada!! Je, amedanganya?(on a woman's perspective)
Kuwa single hakumaanishi hufanyi(Jana nilipata huu msemo toka malumbano ya hoja itv). Eti mtu akikuambia yupo single haimaanishi hafanyi(nywi).Mimi sijui kwa vile niko singo
Nilijua ameongea kama mwanaume
Kwa wengine labda, sio mimi. Mada gani hiyo ilikuwa hadi wanaingiza mambo ya kufanywaKuwa single hakumaanishi hufanyi(Jana nilipata huu msemo toka malumbano ya hoja itv). Eti mtu akikuambia yupo single haimaanishi hafanyi(nywi).
Mambo ya HIV AIDS walikuwa wanaongelea.Kwa wengine labda, sio mimi. Mada gani hiyo ilikuwa hadi wanaingiza mambo ya kufanywa