beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 822
- 1,133
Kalamu yako huwa inanivutia sana mshana jr uandishi unaozingatia maadili na wenye tungo zenye ujazo mzito na uangalifu mkubwa kama mashairi ya ngosha the donJK kaibuka kidedea tena.. Sasa ni mwendo wa kazi na bata