Kurudi kwa UDA (daladala) hii maana yake nini?

SEASON 5

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
481
1,000
Haya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.

Tangu msiba uishe wa Aliyekuwa Rais awamu ya 5 Rais Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani, nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI, MBEZI-TEMEKE nk

Swali langu ni la mshangao, imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? Yalikua wapi? Boss wake ni nani? Kwanini alikuwa hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa Magufuli na kwanini kayarudisha sasa hivi?

"Watanzania sisi sio wajinga, Tunaona"

Nimalizie kwa kusema "Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu, Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..
 
na kwa kurudi kwa UDA ndio JIPU litaendelea kukwiva maana naona kabisa namna ambavyo UDA wataanzisha ruti za K.koo - Mbezi na hakuna trafik ataeuliza wala kuzikamata hizo dala dala,hatima ya MWENDOKASI siijui ni ipi kwakweli
mwendokasi haiwezi kuathirika na UDA mkuu kumbuka hata huo mradi wa mwendokasi aliunzisha JK ambaye fufunu ndo zinadai UDA ina mkono wake
 
mwendokasi haiwezi kuathirika na UDA mkuu kumbuka hata huo mradi wa mwendokasi aliunzisha JK ambaye fufunu ndo zinadai UDA ina mkono wake
Mwendokasi ina pata faida sasa kwasababu ya "marufuku" ya magari ya kawaida kwenda Kariakoo to Mbezi ila Uda Ikianzisha ruti za K.koo to Mbezi Mwendokasi wameumia.
 
M
Haya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.

Tangu msiba uishe wa Aliyekua Rais awamu ya 5 Rais.Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI,MBEZI-TEMEKE,nk

swali langu ni la mshangao,imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? yalikua wapi? boss wake ni nani? kwanini alikua hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa magufuli na kwanini kayarudsha sasa hivi?

"Watanzania sisi sio wajinga,Tunaona"

Nimalizie kwa kusema "Anae stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu,Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa,WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka,halafu ndio kwanza April 2..
Maana yake Riziwqni is back
 
Back
Top Bottom