SEASON 5
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 481
- 1,000
Haya mabasi/daladala za UDA yalianza onekana kwa wingi sana kipindi cha uongozi wa Awamu ya 4 ila baada ya kuingia awamu ya 5 hizi daladala zilipotea zote moja baada ya nyingine na mwisho hatukuziona tena barabarani.
Tangu msiba uishe wa Aliyekuwa Rais awamu ya 5 Rais Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani, nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI, MBEZI-TEMEKE nk
Swali langu ni la mshangao, imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? Yalikua wapi? Boss wake ni nani? Kwanini alikuwa hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa Magufuli na kwanini kayarudisha sasa hivi?
"Watanzania sisi sio wajinga, Tunaona"
Nimalizie kwa kusema "Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu, Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..
Tangu msiba uishe wa Aliyekuwa Rais awamu ya 5 Rais Magufuli UDA zimeanza kurudi barabarani, nimeshashuhudia UDA 3 mpya ruti ya MBEZI - MBAGALA/3, MBEZI-BUGURUNI, MBEZI-TEMEKE nk
Swali langu ni la mshangao, imekuaje tena haya magari kurudi wakati huuu? Yalikua wapi? Boss wake ni nani? Kwanini alikuwa hayarudishi barabarani kipindi cha uhai wa Magufuli na kwanini kayarudisha sasa hivi?
"Watanzania sisi sio wajinga, Tunaona"
Nimalizie kwa kusema "Anaye stream youtube sasa hivi ni kidume", Ukimuona mtu yuko Online Muheshimu, Ma group yangu sioni cha admin wala member anatuma tuma vi meme leo ni kimyaaaaaa, WAZIRI WA NCHI MWANACHAMA WA DATA amejua kututembelea huu mwaka, halafu ndio kwanza April 2..