Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Ulitarajia nini au ulipanga nini baada ya kumaliza chuo? hizo ni tamaa tu za kutaka kwenda chuo wakati magraduate tupo wengi mtaan tena tuna degree km uliyosomea wanasaka kazi tena km hiyo uliyoacha bila mafanikio, kama vipi jiajiri tu jeshin sahau