PANTA
Member
- Feb 4, 2012
- 47
- 5
Heshima kwenu wanajukwaa, awali wa yote natanguliza shukrani kwa Mwenyez Mungu na wanajukwaa kwa ushirikiano katika kipindi chote ya mihangaiko ya kutafuta kazi takriban mwaka 1 na miez 3 hatimae nmepata kazi katika moja ya halmashaur ya wilaya hapa Tz.
Ila niliripot nikajaza zile form za awali nkaambiwa niende nyumban mpaka pesa itoke nitapigiwa simu but mwezi umeisha kimya .
Naomba kuuliza wenye uzoefu na haya mambo nikawaida au uzembe wa wahusika wasiotaka kuendana kas ya Magufuli.
Ila niliripot nikajaza zile form za awali nkaambiwa niende nyumban mpaka pesa itoke nitapigiwa simu but mwezi umeisha kimya .
Naomba kuuliza wenye uzoefu na haya mambo nikawaida au uzembe wa wahusika wasiotaka kuendana kas ya Magufuli.