Felix Aweda
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 507
- 145
Habari za mda huu wanajamii
Naombeni msaada Wataalamu wa IT walioko humu. Jana nilijaza fomu ya bodi ya mikopo sasa kuna sehemu ya wilaya nilikosea kujaza. Badala ya kuandika wilaya ya Ngorongoro nilijikuta nimeandika wilaya ya Arusha.
Tofauti na mwaka jana, mwaka huu hakuna sehemu ya kufanya marekebisho. Nilihangaika sana lakini sioni. HESLB mwaka huu wanachofanya ni kuwa utafanya marekebisho tu kabla haujaprint. Ukisha print hakuna sehemu ya kuedit. Maana hapa ninapo ongea fomu nisha print.
Kwa Unyenyekevu mkubwa naombeni msaada kama kuna mtu alishakutana na mambo kama haya.
Mchango wa kilamoja utaheshimiwa.
Naombeni msaada Wataalamu wa IT walioko humu. Jana nilijaza fomu ya bodi ya mikopo sasa kuna sehemu ya wilaya nilikosea kujaza. Badala ya kuandika wilaya ya Ngorongoro nilijikuta nimeandika wilaya ya Arusha.
Tofauti na mwaka jana, mwaka huu hakuna sehemu ya kufanya marekebisho. Nilihangaika sana lakini sioni. HESLB mwaka huu wanachofanya ni kuwa utafanya marekebisho tu kabla haujaprint. Ukisha print hakuna sehemu ya kuedit. Maana hapa ninapo ongea fomu nisha print.
Kwa Unyenyekevu mkubwa naombeni msaada kama kuna mtu alishakutana na mambo kama haya.
Mchango wa kilamoja utaheshimiwa.