Kura zinaibiwa vipi kupitia NIDA?

Kura zinaibiwa vipi kupitia NIDA?

kunowa

Member
Joined
Oct 30, 2024
Posts
49
Reaction score
61
Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
 
Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Majumuisho yanafanyika wapi? Matokeo ya Uchaguzi yana tangazwa na nani? Unauliza mkia wa mbuzi uko wapi? Labda kama wewe ni kipofu. Na siyo kwamba kura zinaibiwa, zinachakachuliwa.
 
Huyu jamaa alikuwa kwenye kazi hii na pole pole si ndio?
 
Huyu jamaa alikuwa kwenye kazi hii na pole pole si ndio?
Pole pole jana katubu.Sisi wakatoliki tumefundishwa kusamehe 7 mara 70(ndio unabii na kumjua Kristo).Kama alikuepo au hakuepo sio jambo la mimi kutoa hukumu kiongozi
 
Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995, hii mifumo ya NIDA ilianza 2020 yaani Kuwa na network zinazoweza kuingiliana.

Kwahiyo anachotuaminisha Polepole huu wizi wa kura umeanza 2020, kabla ya hapo yaani 1995,2000,2005, 2010 wizi wa kura haukuwepo na mambo yalikuwa shwari bara na visiwani.
 
Back
Top Bottom