Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Kwa taharifa nilizozipata ni kwamba CCM wana mpango wa kumuandaa Mhasibu wa Chuo cha SAUT ambaye amesoma kozi ya ADA hapohapo chuoni na kupatiwa ajira pia ili kupambana na Wenje ifikapo 2015 lengo likiwa ni kuzipunguza kura za vijana wa chuo kwenda kwa CDM
My take:
CDM litizameni hili mapema ili 2015 tuchukue tena hilo jimbo
My take:
CDM litizameni hili mapema ili 2015 tuchukue tena hilo jimbo