Kura za SAUT kugawanywa

Hata cdm waweke jiwe pale kwa wenje itashinda tu.Waache wamuweke huyo mtu.

kwa namna wanachuo wanavyowachukia wahasibu wa vyuo kwa ukiritimba wao hapo wamechemsha. Huwa wanachelewesha sana kwenye mambo ya pesa kwa manufaa yao binafsi.
 
Kwa taharifa nilizozipata ni kwamba CCM wana mpango wa kumuandaa Mhasibu wa Chuo cha SAUT ambaye amesoma kozi ya ADA hapohapo chuoni na kupatiwa ajira pia ili kupambana na Wenje ifikapo 2015 lengo likiwa ni kuzipunguza kura za vijana wa chuo kwenda kwa CDM

My take:
CDM litizameni hili mapema ili 2015 tuchukue tena hilo jimbo


kura za CDM hazipunguzwi kwa namna hiyo, CCM ni ccm tu haijalishi unasoma wapi na unafanya kazi gani. Hata kama wanafunzi wa udsm wangekuwa chuoni wakati wa uchaguzi bado mtatiro aliyekuwa waziri wa mkopo wa serikali ya wanafunzi pale udsm asingefua dafu kwa mnyika. Wasomi ni wasomi hawayumbishwi kirahisi hivyo.
 
wewe utakuwa ni ndugu wa huyo mhasibu hivyo umekuja kupima upepo hapa.

Hapana mkuu sina nasaba yoyote na wala simjuhi mtu huyu na wala niseme kweli hata SAUT kwenyewe sijawahi kufika

Hii habari nimeipata na nimeiweka hapa si tu kujadiriwa jukwaani bali pia kuwaweka katika kuwa informed viongozi wa chama na mbunge wetu pia,na hata ukiangalia hapa jamvini kuna mtu kamtambua bwana huyu hata kwa jina,sasa tumjadili mtu huyu na si mnijadili mie kwani mie sina athari yoyote kwa chama zaidi ya wanaozunguka kutafuta ni jinsi gani waidefeat CDM

Wanasema kumtambua adui yako mapema tayari una nafasi ya kuishinda vita

Pamoja tutashinda.
 
Back
Top Bottom