Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
"Watashindana lakini hawatashinda...",alisema huyo anaye jiita mzee wa maupako!
Hata cdm waweke jiwe pale kwa wenje itashinda tu.Waache wamuweke huyo mtu.
Kwa taharifa nilizozipata ni kwamba CCM wana mpango wa kumuandaa Mhasibu wa Chuo cha SAUT ambaye amesoma kozi ya ADA hapohapo chuoni na kupatiwa ajira pia ili kupambana na Wenje ifikapo 2015 lengo likiwa ni kuzipunguza kura za vijana wa chuo kwenda kwa CDM
My take:
CDM litizameni hili mapema ili 2015 tuchukue tena hilo jimbo
wewe utakuwa ni ndugu wa huyo mhasibu hivyo umekuja kupima upepo hapa.