Elections 2010 Kura za Rais kutangazwa majimboni

Kitu ni simple..watangaze matokea kamili ya kila jimbo. Watu wanatakiwa wawe na uwezo wa kujumlisha wenyewe! Mbona marekani watu walijua rais kabla hiyo tume yao haijatangaza? Ivi kuna majimbo mangapi Tanzania?
Mfano:
Kura za Wabunge:
Fisi Mfamaji - CCM = 13,000
Simba Dume - Chadema = 15,000
Mshindi CHADEMA

Kura za Urais:
Kikwete = 100
Slaa = 27,900
 
hapana wanachojaribu kufanya ni kuwa matokeo yatakapotoka mikoani yakitangazwa yanatangaza mshindi tu wa kura kwenye jimbo hilo.. lakini wakati huo huo lazima yatumwe kwa NEC ambapo yatajumlishwa na jumla rasmi itakapotolewa. Sasa endapo wakijikuta kuwa hali inakuwa ngumu kama jimbo wametangaza kuwa Kikwete kapata 1000 halafu tume ikajumlisha 10000 na kutokana na mahesabu hayo ya tume kikwete akashinda na wakamtangaza basi ndio itakuwa hivyo hakuna mahakama itakayoingilia kati..
Hii nimeipenda. Kiravu kama vile ana akili. Bravooo Kiravu
 
hapana wanachojaribu kufanya ni kuwa matokeo yatakapotoka mikoani yakitangazwa yanatangaza mshindi tu wa kura kwenye jimbo hilo.. lakini wakati huo huo lazima yatumwe kwa NEC ambapo yatajumlishwa na jumla rasmi itakapotolewa. Sasa endapo wakijikuta kuwa hali inakuwa ngumu kama jimbo wametangaza kuwa Kikwete kapata 1000 halafu tume ikajumlisha 10000 na kutokana na mahesabu hayo ya tume kikwete akashinda na wakamtangaza basi ndio itakuwa hivyo hakuna mahakama itakayoingilia kati..

Mkuu hiyo sidhani kuwa inawezekana, sana sana wanachoweza kufanya ni kuchelewa kutangaza majimbo yenye wapiga kura wengi ili kubalancisha pale watakapoona upepo unawaendea kombo, nina uhakika mkoa wa Mwanza, Shy, Tabora inaweza kuwa ya mwisho kutangaza matokeo ili waweze kupata kura wanazohitaji pale watakapoona kuwa hali ya JK ni mbaya.
 
Hii inatia moyo kwa NEC kukubali matokeo yatangazwe majimboni, ZEC nao wamesema ya kwao watatangaza majimboni
 
Back
Top Bottom