nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .