Kura yangu ishaharibika

Kura yangu ishaharibika

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .
 
Kama umefanya hivyo kweli utakuwa na low IQ,kuwaje ushakaa foleni kisha unafanya kitu cha kijinga kama hicho?we unagombana na karatasi lenye picture ya mgombea yeye kalala nyumbani na mkewe umefikiria kwanza umuhimu wa kura yako,maana hiyo kura yako uliyoiharibu labda ndiyo ingemwingiza mgombea unaemtaka wewe,sasa jiandae kuongozwa tena na huyo ulomtoboa toboa.
 
Hahaha hakika kitendo cha kupiga kura cjui kinakuwaga na nn yaani na elimu yote bado umefanya makosa?unless unatania
 
We kweli umechafukwa lakini huo ni ugonjwa tafuta pilipili kichaa ndo dawa yake,tafuna hizo pilipili kama mia tano ivi na utapona.
 
Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .

Mods msiutoe huu Uzi ili tumtukane vizuri huyu kiwavi
 
Kama umefanya hivyo kweli utakuwa na low IQ,kuwaje ushakaa foleni kisha unafanya kitu cha kijinga kama hicho?we unagombana na karatasi lenye picture ya mgombea yeye kalala nyumbani na mkewe umefikiria kwanza umuhimu wa kura yako,maana hiyo kura yako uliyoiharibu labda ndiyo ingemwingiza mgombea unaemtaka wewe,sasa jiandae kuongozwa tena na huyo ulomtoboa toboa.
Ata akishinda c nshamtoboa. .ndio nina iq ndogo ndo maana muheshimiwa katuambia priority yake ni elimu elimu
 
Hahaha hakika kitendo cha kupiga kura cjui kinakuwaga na nn yaani na elimu yote bado umefanya makosa?unless unatania
Anatania tu, naamini anatoa tahadhari kwa njia hiyo.
 
Nimechinja bila huruma. Hapa lowassa tu pombe peleka vilabuni.
 
Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .


Hahahaaaa! Kweli umechafukwa!
 
Mihemko. Kuna wengine wamekuja na peni zao za blue. Wanaenda zitumia!
 
Back
Top Bottom