Kura yangu ishaharibika

Kura yangu ishaharibika

Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .
Huu ni utani (masihara) wenye lengo la kuonya na kufundisha.Asante mleta mada.
 
kweli ulikuwa umechafukwa nasikitika tumekosa kura yako.
 
Daaah yalitaka kunikuta kama yako. Nikaweka kwa Lowasa, kucheki kwa juu nikaona ligombea hili la chama fulan linaniangali si ndo nikataka kulitoboa macho! yaan ilibak kidogo tu, nashukuru mungu alinisimamia
 
M nlkuwa naangalia vyama pinzani ndivyo nlikuwa naviwekea alama ya vema, magufuri anisamehe nimemkata ila nilkuwa nampenda hesabu yangu haipo kwake. Magufur ww ni mzur sana lakin kakura kangu kamoja cjakupa ckuiona sura yako pale
 
Daaah yalitaka kunikuta kama yako. Nikaweka kwa Lowasa, kucheki kwa juu nikaona ligombea hili la chama fulan linaniangali si ndo nikataka kulitoboa macho! yaan ilibak kidogo tu, nashukuru mungu alinisimamia

Hahahahahaahahah ungelitoboa
 
Wadau nimejikuta nashikwa na hasira nikiwa machinjioni baada ya kumuona mgombea wa chama flani (itakua mnamjua) nkajikuta namtoboa toboa kwa hasira na pen mpka karatasi likatoboka...msifanye makosa kama yangu. .

Wewe ni hayawani
 
Halafu usikute wewe ni miongoni mwa waliopiga deki barabara fisadi apite, sasa leo unaharibu kura.
 
Back
Top Bottom