Hata mtu ungeruhusiwa kupiga mara3 kwa mtu1 bado NEC isingeruhusu kura zako kubadilisha matokeo,kimsingi kura zetu hazikuhesabiwa,kura ziliwekwa kando wakatoa walichokikusudia wao na ndo maana mpaka leo NEC imeshindwa kutoa jumla ya matokeo ya kura zetu...it was like voting for leisure,the cursed nec!