utaifakwanza JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 14,193 Reaction score 2,815 Dec 4, 2013 #1 piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu.
piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu.
BASHADA JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 513 Reaction score 149 Dec 4, 2013 #2 Acha ujinga, tunaipigia wapi hiyo kura?
T2015CCM JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 7,930 Reaction score 991 Dec 4, 2013 #3 BASHADA said: Acha ujinga, tunaipigia wapi hiyo kura? Click to expand... Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako
BASHADA said: Acha ujinga, tunaipigia wapi hiyo kura? Click to expand... Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,623 Reaction score 64,498 Dec 4, 2013 #4 Kura tunapigia kwenye sura yako au.
T2015CCM JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 7,930 Reaction score 991 Dec 4, 2013 #5 Mbowe zaidi
T2015CCM JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 7,930 Reaction score 991 Dec 4, 2013 #6 Mamndenyi said: Kura tunapigia kwenye sura yako au. Click to expand... Mkuu umeharibu kura yako. Andika jina chini ku iko kutukana
Mamndenyi said: Kura tunapigia kwenye sura yako au. Click to expand... Mkuu umeharibu kura yako. Andika jina chini ku iko kutukana
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,623 Reaction score 64,498 Dec 4, 2013 #7 T2015CCM said: Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako Click to expand... Omba poll kwa mods usilete mambo ya kale humu.
T2015CCM said: Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako Click to expand... Omba poll kwa mods usilete mambo ya kale humu.
M mokala1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2013 Posts 2,236 Reaction score 730 Dec 4, 2013 #8 Mboweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
AlP0L0 JF-Expert Member Joined Apr 23, 2011 Posts 6,908 Reaction score 5,695 Dec 4, 2013 #9 T2015CCM said: Mbowe zaidi Click to expand... Wewe kazima ni mchaga na meno pia yameungua.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,936 Reaction score 30,050 Dec 4, 2013 #10 utaifakwanza said: piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu. Click to expand... Hii "mivuto ya kisiasa" ilituponza toka mwaka 2005. Tumeshakoma vya kutosha kutegemea "mivuto" ya wanasiasa
utaifakwanza said: piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu. Click to expand... Hii "mivuto ya kisiasa" ilituponza toka mwaka 2005. Tumeshakoma vya kutosha kutegemea "mivuto" ya wanasiasa
Kakende JF-Expert Member Joined Aug 18, 2012 Posts 2,741 Reaction score 1,233 Dec 4, 2013 #11 Wasira alisema CHADEMA itakufa kabla ya mwaka 2015, nadhani tayari alikuwa kamtuma Zitto aje kutibua chama
Wasira alisema CHADEMA itakufa kabla ya mwaka 2015, nadhani tayari alikuwa kamtuma Zitto aje kutibua chama
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,936 Reaction score 30,050 Dec 4, 2013 #12 T2015CCM said: Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako Click to expand... Wacha ukilaza we gamba, niki-like ndio utajua kua nimempigia nani kura??
T2015CCM said: Matusi hayafai mkuu. Vyema ku like km njia ya kupiga kura yako Click to expand... Wacha ukilaza we gamba, niki-like ndio utajua kua nimempigia nani kura??
Fugwe JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 1,676 Reaction score 664 Dec 4, 2013 #13 Mbowe ana utajiri wa fedha si mvuto wa kiuongozi, zitto ana mvuto zaidi (Mninange sasa karibuni)
controler JF-Expert Member Joined Jul 3, 2012 Posts 1,562 Reaction score 361 Dec 4, 2013 #14 Mamndenyi said: Kura tunapigia kwenye sura yako au. Click to expand... Hili lijamaa linajiita utaifa kwanza nalifananisha na gunia la mavi lenye ----- na misumari. halibebeki!
Mamndenyi said: Kura tunapigia kwenye sura yako au. Click to expand... Hili lijamaa linajiita utaifa kwanza nalifananisha na gunia la mavi lenye ----- na misumari. halibebeki!
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,025 Dec 4, 2013 #15 Zzk 100%
kbosho JF-Expert Member Joined Jun 4, 2012 Posts 13,073 Reaction score 6,639 Dec 4, 2013 #16 mwekundu said: Zzk 100% Click to expand... Maccm bana, zzt ni mchumia tumbo hana sifa haya ya kuongoza familia, mtu anae fanya kaz na kurport kwa mwigulu, ata kuwa kiongoz kweli.
mwekundu said: Zzk 100% Click to expand... Maccm bana, zzt ni mchumia tumbo hana sifa haya ya kuongoza familia, mtu anae fanya kaz na kurport kwa mwigulu, ata kuwa kiongoz kweli.
tall gal Senior Member Joined Oct 24, 2013 Posts 102 Reaction score 56 Dec 4, 2013 #17 Mimi ni zaidi ya hao wote
B bizmak JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 389 Reaction score 138 Dec 4, 2013 #18 utaifakwanza said: piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu. Click to expand... ..wote kwa sasa hawafai lakini kama kunaulazima wa kuchaguwa na kama ni tiba mbadala basi angalau anaweza kuwa zzk
utaifakwanza said: piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi? acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu. Click to expand... ..wote kwa sasa hawafai lakini kama kunaulazima wa kuchaguwa na kama ni tiba mbadala basi angalau anaweza kuwa zzk
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 943 Dec 4, 2013 #19 Ni aibu kuulinganisha mti wa MBUYU na MPAPAI. Zitto ni MBUYU na huyo macho kumchuzi ni sawa na MPAPAI.
Ni aibu kuulinganisha mti wa MBUYU na MPAPAI. Zitto ni MBUYU na huyo macho kumchuzi ni sawa na MPAPAI.
scramble JF-Expert Member Joined Nov 29, 2012 Posts 1,593 Reaction score 257 Dec 4, 2013 #20 Ondoeni Uzi wa kipuuzi