Coping Strategy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 439
- 384
Wakuu.
Tangu safari ya treni la Pugu kwenda mjini kuanza, kumetokea msongamano mkubwa wa watu kwa treni la Ubungo Maziwa kwenda mjini hiyo imetokana kupunguzwa kwa idadi ya mabehewa yake na kuongezewa treni ya route ya Pugu station.
Ni vyema management watafute mbadala wa utatuzi wa hili tatizo, uhitaji ni mkubwa sana, mabehewa yanajaa sana, si salama kwa upande wa abiria.
Nawasilisha.
Tangu safari ya treni la Pugu kwenda mjini kuanza, kumetokea msongamano mkubwa wa watu kwa treni la Ubungo Maziwa kwenda mjini hiyo imetokana kupunguzwa kwa idadi ya mabehewa yake na kuongezewa treni ya route ya Pugu station.
Ni vyema management watafute mbadala wa utatuzi wa hili tatizo, uhitaji ni mkubwa sana, mabehewa yanajaa sana, si salama kwa upande wa abiria.
Nawasilisha.