aiseejoto la mgongo wa Mwendesha bodaboda lipoje
A na B yote yanaweza kuwa majibu sahihi. Tozo zinatusasidia tufanye mazoezi ya lazima. Imesaidia sana. Wakati mwingine tunalazimika kubana matumizi kwa lazima.Sikuhizi maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam kasi ya matumizi ya bodaboda imepungua sana. Wengi wa wakazi ni mwendo wa kwata tuu, mguu pande, mguu sawa, mbele tembea!!! Sijajua ni muamko wa kutembea kwajili ya mazoezi au kubana matumizi?
Mimi Leo nimetembea hatua (steps) 10,407Watu tumejiwekea target kila siku hatua 10,000
Watu tumejiwekea target kila siku hatua 10,000
Leo nimetembea hatua 10,407 na kuunguza (burn) calories 428.Yeah tuna burn calories
Umefanya jambo kubwa sana.Leo nimetembea hatua 10,407 na kuunguza (burn) calories 428.
Wataalamu wa afya wanashauri angalau kila siku utembee/ukimbie hatua 6,000 na uchome calories 500.