Ngoja waanze kuku riki boy ndio utajua hujuiNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Ni lile kabila, hivyo ndio zao...ππππWEWE ndani ya moyo wako ni Malaya tu unaetafuta uhalali wa kufanya umalaya wako...go ahead na hyo program Yako ya uchepukaji then usisahau kuja kutupa mrejesho..
subiri wachepukaj wenzako mostly single Maza waje kukuhalalishia uchafu unaotaka Kuanza..kiufup unataka kusikia go ahead..πππ
DuhYasikie tu kwa wengine , kuna wengine hufikia stage ya kuoneana haya hata nguo hawavui mbele ya wenza wao na wengine ili waweze kufanyana ni mpaka wakalewe, macho kavu hawawezi kabisa
Hawachokwi? Kwahiyo wanajifananisha na hela sioπ€£π€£π€£π€£
Huwa wanajipa moyo kuwa wao huwa hawachokwi, ni wao tu huwachoka wenzao.
Sasa hili lako ndio tatizo, pole sana. Na hujawahi kuchepuka hiyo 12yrs ya ndoa?Kwa ambao hayajawafika mwaweza comment vibaya ,hii hali wanawake wengi sana inawapata,hata mimi lakini nimejifanyia tathmin ,mume wangu yupo very rude ,yaani ni mtu wa kufoka sana na mwepesi wa hasira hivyo kipigo hata kwa kosa dogo atakupiga ,kwa familia ni baba bora sana ,ila kwa mke kafail unanitahidi kumtimizia na kumtii kama mke but una kuta ndiyo nature yake mpka mwenyewe anakili kuwa hata kazini wanamsema ni mkali sana anawezaje kuishi na mkewe ? Sasa come back wanawake akikutana na mwanume wa aina hii anaishi kwa kuvumilia ila upendo unaisha kwa mumewe,kwani mwanamume hana habari na mke,mimi hii hali naongea coz naiptia tangu nimeolewa sijawahi ambiwa neno nakupenda ,nimekumiss but huwa nakuta text za michepuko so huwa tunagombana sana na mr ,nikamwambia kuwa kumbe una uwezo wa kuaambia wengine nimekumiss ,mimi nikumbia au kutext unajibu ahsante but hujawahi niambia hata siku 1 ,hii hali haziwezi kupoteza hisia na mwezni wako tusijudge tu negative lazima vyanzo vipo ,but mimi totally imepelkea mpaka sipendi kabisa wanaume ,niliwahi mwambia mr kuwa natamani mwanangu asije olewa kwani naona atanyanyasika kwa ndoa ,kwa ujumla sijawahi ona raha ya ndoa nimejitahidi sana kwa maombi ,nimlete mr karibu but nature yake hawezi badilika
Comment ya hovyo sijapata kuona.Sema most likely mumeo anachepuka ila hujajua namna ya kumstukia!
Hata hivyo usimtafute kujua.
Na ukute huo mchepuko ndio umekuroga usi m-feel mumeo
Sasa hapo ikitokea ukajua anachepuka ndipo utapata uhalali wa kuchepuka
Umekosa ubunifu mara nyingi wanawake ndio shida mnasababishaNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Naunga mkono hoja 100%Pole mdogo wangu. Kwanza hongera kwa kutochepuka mpaka leo. Wewe ni mshindi na umefanya vizuri kuomba ushauri, hiyo hali ipo au huwa inatokea kwa wanandoa wengi iwe ni me hata ke hali hiyo hutokea. Asilimia kubwa hali hiyo imechagizwa na maisha tunayoishi siku hizi. Kuna mashambulizi yanafanywa maksudi ili kuleta mabadiriko fulani mabaya katika miili yetu. Nayo hufanywa ktk vyakula, vinywaji, matibabu na ktk mambo ya kiroho. Ukweli hata ukichepuka huyo mchepuko baada ya muda utakuwa huna hisia naye. Kwa hiyo kitakachofanyika utakuwa mtu wa kubadili michepuko mwisho wa siku utahamia ktk tamaa za mapenzi ya jinsia moja au mapenzi kinyume na asili. Ushauri wangu hilo ni tatizo na mrekebishaji wa tatizo hilo ni aliyekuumba na aliyeiumba ndoa yenu. Tafuta usaidizi wa kiroho. Endelea kuwa na msimamo usichepuke, kinyume chake utakuja kujuta.
Nakazia.Chepuka tu unafikiria mumeo angekuchoka angejiuliza mara mbili mbili kuhusu kutafta taste nyingine.
Maisha ni haya haya umekichoka chakula flani unabadilisha tu
Mada zenye maudhui kama haya zimekuwa nyingi mno. Ni baada ya members wengi kugundua kuwa wakijivika ''uanauke'' na kuleta mada za sex na uhusiano hapa, zinapata michango mingi. Maelezo yako uliyotoa ndiyo kitanzi chako. Umejieleza mno kiasi cha watu makini kugundua kuwa huu ni utunzi wa furahisha baraza, na pengine ni dume limeanzisha hii thread.Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
WANAUME ku KATAA NDOA hatujakurupuka! ona sasa.
sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka.
Mjadala umekuwa wa wanaume pekee hahahaa....Tumeambiwa tuwe wapenzi watazamaji tuu, yaani tusichangie chochote
Kwanza Pole..... nimejiskia tu nikushauri ....jaribu kutafta mazingira tofauti kama vile outing na mumeo hasa maeneo ya baridi kuna ka mzuka flani itakuja yenyewe tu ...halafu ukihitaji ntakupa fomla ya chakula cha kuboost mambo ......Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Dear njoja nikupe hii iliyompata rafiki yangu dear.Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Hiyo ni jeuri ya pesa.....vina mudaaa basiiNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.