Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

Ngoja waanze kuku riki boy ndio utajua hujui
 
Ni lile kabila, hivyo ndio zao...😁😁😁😁
 
Sasa hili lako ndio tatizo, pole sana. Na hujawahi kuchepuka hiyo 12yrs ya ndoa?
 
1. Una jini mahaba wewe. Funga na kuomba.
2. Kama sio jini mahaba utakuwa na tatizo la kurogwa.
 
Sema most likely mumeo anachepuka ila hujajua namna ya kumstukia!

Hata hivyo usimtafute kujua.

Na ukute huo mchepuko ndio umekuroga usi m-feel mumeo


Sasa hapo ikitokea ukajua anachepuka ndipo utapata uhalali wa kuchepuka
Comment ya hovyo sijapata kuona.
 
Umekosa ubunifu mara nyingi wanawake ndio shida mnasababisha
 
Naunga mkono hoja 100%
Inawatokea sana wana ndoa wengi hii hali nadhani ni ishu ya kisaikolojia zaidi, hasa baada ya kuzaa watoto na pia huwa sometimes hutokea pindi wanawake wanapokuwa wanakaribia ukomo wa hedhi nk.

Way back bosi wa benki fulani kubwa nchini tulizoeana kiasi kwa heshima sana sasa ni mstaafu, siku moja aliomba tukutane hotel fulani posta karibu na benki pacha ya Stanbic kwa ajili ya kinywaji cha jioni na maongezi kidogo nilihisi labda anataka kunipa dili la pesa lingine kwani alishawahi nipa dili kabla lililonifanya nikanunua kiwanja hivyo niupa uzito wito wake "tulipokutana baada ya kumaliza kuongelea madili akaanza kuomba ushauri afanyeje...alinielezea anapitia hali kama ya huyo mwana jf amepoteza hisia kwa baba watoto wake kwa miaka 8 ameenda kanisani amefunga sana lakini hisia kwa mumewe hazipo wakati huo mumewe kaniacha mbali sana kimaisha,kielimu na kipesa, nilijitahidi kumshauri kwa miezi sita kwamba ni hali ya mpito na kibaolojia tu atakaa sawa, watu wazima wengi uipitia hiyo hali na blah blah kibao lakini bado hakuelewa finally nikaamua niwe namkata kiu...najutia ule wakati.

#Mtoa mada ikitokea akawa karibu kishkaji na mwanaume yeyote basi jua lolote linaweza kutokea kwasababu ananing'inia kwenye uzi anytime ataangukia anapopataka na naamini hawezi vunja ndoa yake bali ataendelea itunza..kwani ni hali ya mpito tu.
 
Hili tumelichukua napendekeza mtoa mada atume kapicha tuone kama kweli biashara ni nzuri kama alivojinasubisha
 
Mada zenye maudhui kama haya zimekuwa nyingi mno. Ni baada ya members wengi kugundua kuwa wakijivika ''uanauke'' na kuleta mada za sex na uhusiano hapa, zinapata michango mingi. Maelezo yako uliyotoa ndiyo kitanzi chako. Umejieleza mno kiasi cha watu makini kugundua kuwa huu ni utunzi wa furahisha baraza, na pengine ni dume limeanzisha hii thread.
 

sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka.​
WANAUME ku KATAA NDOA hatujakurupuka! ona sasa.
 
Kwanza Pole..... nimejiskia tu nikushauri ....jaribu kutafta mazingira tofauti kama vile outing na mumeo hasa maeneo ya baridi kuna ka mzuka flani itakuja yenyewe tu ...halafu ukihitaji ntakupa fomla ya chakula cha kuboost mambo ......
 
Dear njoja nikupe hii iliyompata rafiki yangu dear.

Hio hali ni kawaida kwa wanandoa.
Rafiki yangu ilimpata hio hali ila yeye aliamua kuchepuka.
Baada ya kuchepuka alipata kitomb* kitamu alivyoniambia ikafika mpaka wakati akikutana na mume wake hanajiona kama mume wake ni mtoto tuu si kitu.
Halikuja kujuata maana alifika stage ya kumzalau mume wake kwenye ndoa , alisema alikuwa anajizuia ila kuna kipindi alianza mpaka kuchelewa home mpaka mume kumshitukia, aliniambia alichukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida.

My intake ni kwamba ukianza kuchepuka kwa sababu huna hisia na mwenzio ukaenda nje madhara yake ni makubwa kwenye ndoa maana utamu utaupata kule inathiri sana kwenye ndoa yenu.

Cha msingi mwambie baby wako mama usione haibu. Na kingine badilisheni hata style ya tendo.
Hata muonekano wa chumba, pia mavazi na hata perfume tumia nyingine na badilisheni hata maeneo ya kufanyia sexy,
Huo ndo ushauri wangu my kuchepuka usijalibu dear kwa sasabu huna isia na mume labda angekuwa mbali labda. Au umepata buzi la kulichuna pesa sawa ila sio huna isia na mume , madhara yeke ni kupoteza 100% hisia na mume, kurecover itakuchukua muda sana dear.
 
Hiyo ni jeuri ya pesa.....vina mudaaa basii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…