jamani naombeni mnisaidie coz sijui na kuuliza sio ujinga.my wife anapofikia kilele wakati tuna do huwa anapoteza fahamu kwa muda mpaka nimpepee au nimfutefute usoni kwa kitambaa chenye maji ya baridi.swali je hali hii haina athari yoyote pale ntakapompregnant?ni ikumbukwe kuwa hana tatizo lingine la kiafya,naomba kutoa hoja........asanteni