Liwengi
Member
- May 15, 2011
- 29
- 7
Watanzania wenzangu.
Mimi kwa jina halisi naitwa Bernard Bruno Mwenda
Ninapenda kuwajulisha Watanzania wenzangu kuwa, siku ya tarehe 9/11/2013 majira ya saa 12:30 jioni, nikiwa na usafiri wa pikipiki nikitokea Uwanja wa Ndege kuja Mwenge, nilidondosha begi. Begi hilo nilidondoshea kati ya Ubungo na Mlimani City. Katika begi hilo kulikuwa na vitu vingi sana ikiwa pamoja na nyaraka zangu mbalimbali.
Miongoni mwa nyaraka zilizokuwemo katika begi hilo ni:-
Tafadhali, anayeweza kuwa na taarifa ya vitu hivyo anipigie namba za simu 0714093091 au 0758227414. Tutaelewana baada ya kupata taarifa hizo.
Pia kwa mtu aliyeokota vifaa hivyo, tafadhali asiwe na shaka yoyote, anaweza kuchukua vyoye anavyovipenda katika begi hili ikiwa ni pamoja na pesa, isipokuwa aniachie document na vyeti vyangu. Mimi kwa sasa nimekwama sina ujanja kabisa.
Vifaa hivyo anaweza kuvipeleka kituo chochote cha Polisi au anipigie simu nilizoandika hapo juu.
Mtanzania mwenzenu, Bernard Bruno Mwenda
Mimi kwa jina halisi naitwa Bernard Bruno Mwenda
Ninapenda kuwajulisha Watanzania wenzangu kuwa, siku ya tarehe 9/11/2013 majira ya saa 12:30 jioni, nikiwa na usafiri wa pikipiki nikitokea Uwanja wa Ndege kuja Mwenge, nilidondosha begi. Begi hilo nilidondoshea kati ya Ubungo na Mlimani City. Katika begi hilo kulikuwa na vitu vingi sana ikiwa pamoja na nyaraka zangu mbalimbali.
Miongoni mwa nyaraka zilizokuwemo katika begi hilo ni:-
- Cheti cha Sekondari 1996
- Cheti cha JKT operation Kagera
- Cheti cha Polisi [Auxiliary Police] 2002
- Kadi ya Pikipiki T513 BZL na Road Licence pamoja na Kadi ya Bima.
- Kitambulisho cha Kazi
- Kitambulisho cha Uraia
- Kitambulisho cha Chuo TPSC
- Cheti cha shule ya msingi cha mototo wangu Melinda Mwenda
- Kitabu cha Biblia ndani yake kuna namba za simu za mke wangu
- Fedha Taslimu Laki moja na tisini elfu
- Modem mbili na Flash mbili
- Saa aina ya SEICO AUTOMATIC
- Na nyaraka nyingine mbalimbali na yote hivyo vina majina ya Bernard B. Mwenda au Mwenda B B
Tafadhali, anayeweza kuwa na taarifa ya vitu hivyo anipigie namba za simu 0714093091 au 0758227414. Tutaelewana baada ya kupata taarifa hizo.
Pia kwa mtu aliyeokota vifaa hivyo, tafadhali asiwe na shaka yoyote, anaweza kuchukua vyoye anavyovipenda katika begi hili ikiwa ni pamoja na pesa, isipokuwa aniachie document na vyeti vyangu. Mimi kwa sasa nimekwama sina ujanja kabisa.
Vifaa hivyo anaweza kuvipeleka kituo chochote cha Polisi au anipigie simu nilizoandika hapo juu.
Mtanzania mwenzenu, Bernard Bruno Mwenda