wanaojulikana
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 576
- 901
Inasikitisha Sana tena Sana tumeenza kumsahau ndugu yetu mwandishi aliyepotea, tusifanye makosa Kama tulivyofanya kwa kina Ben saa nane tukajipa matumaini atarudi bila kupaza sauti kwa pamoja.
Ndugu zangu waandishi umoja wenu una Matata kabisa jambo hili si la kawaida lakini mmegawanyika Kama hamna umoja acheni hizo Leo atapotea wa nipashe kesho wa habari Leo ndiyo akili zitawakaa sawa.
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Ndugu zangu waandishi umoja wenu una Matata kabisa jambo hili si la kawaida lakini mmegawanyika Kama hamna umoja acheni hizo Leo atapotea wa nipashe kesho wa habari Leo ndiyo akili zitawakaa sawa.
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.