Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...Neno kuporomoka kwa maadili si neno geni masikioni mwa wengi.
Ndoa nyingi za kisasa zimekuwa zinakumbwa na matatizo kiasi kuhatarisha maisha ya kizazi husika.
Nani alaumiwe?
Ni kosa la Wazazi, ambao ni taswira ya watoto?
.... au ni maendeleo ya kisayansi na tekinolojia inayohusisha matumizi ya sinema, Interneti na simu za mkononi?
...au ni mapungufu ya imani, mila na desturi?
...huenda ni serikali na matokeo ya utandawazi pamoja na 'upofu' wa mila za kigeni?
...Jadili!
Ndoa nyingi za kisasa zimekuwa zinakumbwa na matatizo kiasi kuhatarisha maisha ya kizazi husika.
Nani alaumiwe?
Ni kosa la Wazazi, ambao ni taswira ya watoto?
.... au ni maendeleo ya kisayansi na tekinolojia inayohusisha matumizi ya sinema, Interneti na simu za mkononi?
...au ni mapungufu ya imani, mila na desturi?
...huenda ni serikali na matokeo ya utandawazi pamoja na 'upofu' wa mila za kigeni?
...Jadili!