Nyote mliochangia mada hii, pamoja na mtoa mada mwenyewe mnashangaza kweli kweli! Hivi nani aliwaambia kwamba Rostam aliinunua habaro Corporation kwa ajili ya kuongeza mauzo ya magazeti?
bongo hakuna uandishi habari wa uhakia ni kuganga njaa tu
Mnaosusia Magazeti ya New Habari ni sawa na kusema Matrekta ya KILIMO KWANZA MFUKO LAAKI! Kama Manji na Jeetu wanapigana vikumbo kupta tenda ya kuyaingiza nchini bora nilime na Jembe la mkono.MAFISADI KILA MAHALI LOOH!
Umenena haswa mkuu na ume-hit the nail on the head.
Rostam hakununua magazeti kwa ajili ya biashara ila kueleza umma propaganda zake na za mabulushi wa Tz.
Si uongo kuwa content ya habari za magazeti yake zina ufahamu wa hali ya chini sana kulingana na wasomaji wake.
Msomaji akiona gazeti linaandika,consistently, utumbo/uongo/propaganda za kipuuzi anaamua, kama mimi nilivyo amua kutopoteza pesa zake kusoma utumbo.
Sasa nanunua magazeti yanayo eleza ukweli unaoleweka na nahisi wengi wanafanya hivyo.
hata vijigazeti vya rostam vikifa vyote sawa tu kwani anatusaidia nini watanzania, bora hata mzee mengi anasaidia walemavu.