chrispin2008
Member
- Dec 12, 2008
- 5
- 1
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
Yaani wewe sijui unaishi dunia ipi ikiwa u are serious about your question... kupima sio hiari bali ni lazima, hebu take a simple example wewe chrispin, umejitunza kabisa.. utakubali mtu akuambukize kweli??? kama unajipenda wewe mwenyewe na kumjali mwenzako pamoja na watoto mtakao barikiwa nao.. basi u should not be asking this question.
wakati wa uchumba wenu hamkujigi jigi,
- condom haizuii kwa asilimia zote
Jamani mi nashindwa kufaham, mkitaka kuoana mnaambiwa eti lazima mpime,sasa nauliza je kupima ni hiari au cyo hiari?
SMUNadhani kinachofanya watu waoane siyo kutokuwa na VVU bali ni upendo walio nao kati yao na nia ya kutaka kuishi pamoja kama mke na mume.
Kisheria (kwa sasa) hakuna mtu aneyeweza kukulazimisha kupima VVU kabla ya ndoa. Wafungishaji ndoa hawana haki ya kujua HIV status ya wafungaji ndoa isipokuwa kwa ridhaa ya wanandoa wenyewe. Nafahamu kuna baadhi ya makanisa ambayo (kwa makosa) wanalazimisha kupima VVU. Lakini hawajui pia kwamba ndoa nyingi sasa hivi zinafungwa wakati wahusika tayari wana mahusiano ya kimapenzi (in most cases yasiyo salama!) kwa muda mrefu tu.
Watu wenye VVU wana haki ya kuoa na kuolewa kama mtu mwengine yoyote yule mzima au mwenye kasoro au magonjwa mengine (kansa, kisukari, ukoma,bp etc).
Hata hivyo mwenza wako (na si mtu mwengine!) anayo haki ya kukutaka 'mkapime' (sio'ukapime'!) VVU kama mojawapo ya masharti kabla ya kuoana. Kama ataamua kutofunga ndoa na wewe kwa sababu una VVU hilo ni suala jingine!
SMU
Mkulu you have said it all.Let us be down to earth,huwezi kuinsist watu wapime kabla ya ndoa wakati watu walishaonjana miezi kama si miaka mingi.
kama watu walishaonjana/walishafanya mapenzi; hapa si muhimu kupima.
However; Kwakuwa lengo mojawapo la ndoa, katika ndoa nyingi, ni kuwa na familia a.k.a watoto basi kuna ULAZIMA wa kupima kabla ya ndoa, lengo ni kujuwa kama affected then prevent affection to a child. Ulazima wa kupima unalenga kutokumuambukiza mwenza, kama mmoja anao, au kutokumuambukiza mtoto, kama wote mnao endapo ndoa itafungwa.
...pia UKIMWI waweza kuupata kwa kudungwa sindano au kuongezewa damu yenye virusi...si ngono pekee.