KUPIMA V.V.U kabla ya harusi ni lazima?

KUPIMA V.V.U kabla ya harusi ni lazima?

Dah! Hii ndo Jf ya miaka hiyo ilivyokua nimepitia michango yote sikuona kukashifiana wala kutukanana,members walikua wanajiheshimu na kuheshimiana. Si Jf ya leo neno moja matusi kumi.
Dah,NATAMANI NINGEKUWEPO ENZI HIZO.
 
inakua sio fresh cha msingi apo nikujuana mapema kabla ya kuoana
 
Back
Top Bottom