Kupima Ukimwi sasa ni nyumba kwa nyumba

kinacho takiwa ni kujitahidi kupunguza umaskini. Akina dada zetu ambao wana opt kujihusisha na biashara ya miili yao wawezeshwe ili biashara hiyo itambulike na hapo wataweza kuwa na maamuzi na miili yao kuliko ilivyo sasa.

Wenye mabaa na mahoteli wawalipe vizuri wahudumu wao ili wasijiingize kwenye uzinzi ili kujiongezea kipato.

waathirika wengi ni wale walio kwenye ndoa na wanaotembea nao, hapo ndio watu wengi hawatumii kinga, wengi wanao kwenda na hao kina dada wanaojiuza wana uwezekano mkubwa wa kutumia kinga kuliko wale wanao kwenda kwa nyumba ndogo ambazo zimeshamiri kuanzia mjini mpaka vijijini..

waliooa watulie na wake/waume zao, kama hawawezi watumie kinga kwa mke/mume na kwa nyumba ndogo...
 
huu mpango ukitumika vizruri, utasaidia kuondoa tatizo la upungu wa damu kwenye mahospitali yetu, kuna watu huko vijijini wana afya nzuri, kabisa baada ya kupimwa wanaweza kushawishiwa wakatoa na damu kidogo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom