Kupima Reasoning ya Mwanamke

Inategemea na mwanamke uliye naye mkuuu
 
ni

kweli sikuhizi hatusemi tunanyamaza lakin tunajua mwanamke ni kama mtoto,ukiwa nae ishi nae kwa busara na akili vinginevyo hamtafika salama
Kuna swali umeulizwa zaidi ya mara tatu sijui kwanini unalikwepa .
Tuambie udhaifu wa mwanamke upo katika nini mkuu?
 

Well said, comrade
 

Mimi naangalia uhalisia wa ninachokiona kwa macho yangu kwasasa hayo mambi ya kuumbwa na udhaifu nyie yachukueni.

Kuna wanawake vichwa vya familia, mwanaume mlevi familia hahudumi, watoto matumizi hatoi mke ndiye anahangaika tu. Huyu mwqnamme utamuita kichwa cha familia kisa tu imeqndikwa kwenye vitabu??

Zama za kusema mwanamke ni dhaifu labda uwe unajilinganisha naye na uwe umemzidi na sio fallacy generalization.
 
hahahhahahhahahahahahahahahahaha
 
Hit
 
yaan nasema hivi we wasifie utakuja kunambia,mwanamke hata awe na dunia nzima hiii uwezo wake ni weak sana ukilinganisha na mwanaume asiye na kitu
Uongo wa saa nane huu... Jiulize why tunaishia kuwaslap au kuwakunjia ngumi?
 
Marioo tuliza mshono. Aliyewaumba anasema anasema wana mapungufu ww kulelewa kidogo tu unawasujudia. Au sio ME ww?
Naona mkuu umeamua kumchana tu, kila anavyoambiwa haelewi.
Mwanamke ni dhaifu tu mbele ya mwanaume hata amiliki Dunia nzima.
 
Nimekuelewa sana mkuu hapo ulipo pitia kwa mangi mwambie akupe kinywaji bariiiiidi nakuja kulipa
 
Kwa wanaume Najua maana naishi nao deile ila wanawake sasa
 
Ungefua tu mkuu na hiyo hela ukanywa kirikuu mbili
 
Kuna swali umeulizwa zaidi ya mara tatu sijui kwanini unalikwepa .
Tuambie udhaifu wa mwanamke upo katika nini mkuu?
unajua ipo hivi mwanamke kwa asili ni dhaifu,hapa haitegemei ana mali au akili,kila mwanamke anaudhaifu wa kipekee kwa hiyo siwezi sema kuwa udhaifu wake ni huuu,hapana kwasababu wanatofautiana,kikubwa kama wewe ni mwanaume hakikisha unaishi kwa akili na mwanamke ili muweze kufika muendako,ful stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…