Kama ni kweli badi wakulima watakuwa wanageuzwa watumwa wa serikali sababu
Hawapewi ruzuku za kutisha na zinazotolewa wanafaidi viongozi wahalmashauri na seikali kwa ujumla pia viongozi wa ccm na naafisa watendaji.
Gharama za viwatilifu , mbolea na dhana za kilimo ni ghali sana hibyo mkulima kubebeshwa mzigo mkubwa sana.
Wakulima kupangiwa bei za mazao kama mahindi, kahawa , pamba na tumbaku ni jambo baya sana , na hii inatokana na watu wenye mitaji mikubwa ni viongozi wa serikali na wafanya biashara ndani ya serikali nfiyo wanasababisha haya yote.
Ni vyema mkulima awe huru kuuza mazao popote ili aweze kupata faida na hii itawavutia wengi kujiingiza kwenye kilimo la sivyo vijana wataendele kukimnia kilimo mfano bei ya mahindi DRC ni 3times ya tz kwanini wakulima wasipewe haki yao.
Pia srrjali iwe mfanomzuri kernye kilimo kwa kuacha kuingiza siasa za kibaguzi mfano kubomoa shamba la bwana Mbowe hii haileti piha nzuri kwa jamii ambayo inaaminishwa kilimo ni uti wa mgongo.
Kilimo kianze kufundishwa kuanzia ptimary kama zamani ili kuwaandaa mindset za watoto kuwa kilimo ni kazi inayolipa kwa 100% kwani wengi wanaamini kilimo kama ni adhabu na siyo kazi
Sera ya ardhi inamapungufu makubwa kwani hakuna mipango ardhi mizuri.
Hawana haki ya kuzuia mazao ya mtu yeyote kwenda popote , serikali ilishasema hakuna chakula cha bure kwa mtanzania yeyote , sasa wasiwasi unatoka wapi ?
Serikali ambayo imeshindwa kulipia karo za watoto wetu wa vyuo inatuzuia kutafuta ada za wanetu ili iweje ?
Shamba likiwa na bangi ni lako lakini likiwa na dhahabu au mahindi serikali inaingilia ili iweje ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.