Nilishawahi kuweka Post hapa kwamba inawezekana kupiga kura ukiwa popote duniani kwa kutumia Database kama vile unavyo tumia ATM Card, ukishatoa pesa itakwambia kuwa ushatoa.
Nilishawahi kuweka Post hapa kwamba inawezekana kupiga kura ukiwa popote duniani kwa kutumia Database kama vile unavyo tumia ATM Card, ukishatoa pesa itakwambia kuwa ushatoa.