C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 May 31, 2025 #1 Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM, Msimamizi wa Uchaguzi: Mkurugenzi CCM Tume/Mwenyekiti/Makamu Mwenyekiti/Makamishna CCM
Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM, Msimamizi wa Uchaguzi: Mkurugenzi CCM Tume/Mwenyekiti/Makamu Mwenyekiti/Makamishna CCM
D3F4ULT JF-Expert Member Joined Mar 8, 2019 Posts 391 Reaction score 779 May 31, 2025 #2 Uzu tayari, ila umijitosheleza mkuu😂
M m4cjb JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 9,129 Reaction score 3,673 May 31, 2025 #3 Ni kupoteza muda. Kura haziheshimiwi
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 May 31, 2025 Thread starter #4 m4cjb said: Ni kupoteza muda. Kura haziheshimiwi Click to expand... Hakika
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 29,138 Reaction score 51,780 May 31, 2025 #5 connections said: Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Hiyo illusion imekuwa hivyo kwa miaka mingi, ndio maana wakitokea watu wakihoji wanapigwa vita sana
connections said: Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Hiyo illusion imekuwa hivyo kwa miaka mingi, ndio maana wakitokea watu wakihoji wanapigwa vita sana
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 May 31, 2025 Thread starter #6 Detective J said: Hiyo illusion imekuwa hivyo kwa miaka mingi, ndio maana wakitokea watu wakihoji wanapigwa vita sana Click to expand... Raha sana
Detective J said: Hiyo illusion imekuwa hivyo kwa miaka mingi, ndio maana wakitokea watu wakihoji wanapigwa vita sana Click to expand... Raha sana
Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 13,822 Reaction score 39,469 May 31, 2025 #7 Unachofanya hapa ni uhaini 🐼
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,353 May 31, 2025 #8 Mwenyekiti wa CCM anajua mpaka idadi ya kura atakazo tangazwa ameshinda. Ameyasema mwenyewe Dodoma “ukichukua wanachama wetu wote na wanaotupenda “
Mwenyekiti wa CCM anajua mpaka idadi ya kura atakazo tangazwa ameshinda. Ameyasema mwenyewe Dodoma “ukichukua wanachama wetu wote na wanaotupenda “
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,337 May 31, 2025 #9 Sky Eclat said: Mwenyekiti wa CCM anajua mpaka idadi ya kura atakazo tangazwa ameshinda. Ameyasema mwenyewe Dodoma “ukichukua wanachama wetu wote na wanaotupenda “ Click to expand... Yule mazer ni teepee kiwango cha milima ya Himalaya.
Sky Eclat said: Mwenyekiti wa CCM anajua mpaka idadi ya kura atakazo tangazwa ameshinda. Ameyasema mwenyewe Dodoma “ukichukua wanachama wetu wote na wanaotupenda “ Click to expand... Yule mazer ni teepee kiwango cha milima ya Himalaya.
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 May 31, 2025 Thread starter #10 CHAUMMA kuleni pesa mtambae. Hakuna jipya
Bunda Kwet JF-Expert Member Joined Feb 24, 2025 Posts 274 Reaction score 392 May 31, 2025 #11 Siwezi kupiga kura kwa mazingira haya
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,337 May 31, 2025 #12 Bunda Kwet said: Siwezi kupiga kura kwa mazingira haya Click to expand... Unambishia hata wa kwenu Bunda Mzee Wassira?
Bunda Kwet said: Siwezi kupiga kura kwa mazingira haya Click to expand... Unambishia hata wa kwenu Bunda Mzee Wassira?
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,923 Reaction score 119,307 May 31, 2025 #13 connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Kama una akili timamu huwezi kupoteza muda wako kwenda kupiga kura isiyo heshimiwa. Ni bora kubaki tu nyumbani, au kuendelea na shughuli zako nyingine.
connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Kama una akili timamu huwezi kupoteza muda wako kwenda kupiga kura isiyo heshimiwa. Ni bora kubaki tu nyumbani, au kuendelea na shughuli zako nyingine.
Bunda Kwet JF-Expert Member Joined Feb 24, 2025 Posts 274 Reaction score 392 May 31, 2025 #14 Moisemusajiografii said: Unambishia hata wa kwenu Bunda Mzee Wassira? Click to expand... Wasira mwenyewe hatumtaki
Moisemusajiografii said: Unambishia hata wa kwenu Bunda Mzee Wassira? Click to expand... Wasira mwenyewe hatumtaki
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,114 May 31, 2025 #15 Oyeee oyee
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,974 Reaction score 75,056 May 31, 2025 #16 connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Ni utaahira mkubwa kupoteza muda kwenda kupiga kura wakati wagombea wote wa CCM watatangazwa kushinda kwa 99%.
connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM Click to expand... Ni utaahira mkubwa kupoteza muda kwenda kupiga kura wakati wagombea wote wa CCM watatangazwa kushinda kwa 99%.
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 Jun 1, 2025 Thread starter #17 Ilani Makini
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,114 Aug 26, 2025 #18 Hatari na nusu
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,114 Aug 26, 2025 #19 connections said: CHAUMMA kuleni pesa mtambae. Hakuna jipya Click to expand... Safari hii day limepanda
connections said: CHAUMMA kuleni pesa mtambae. Hakuna jipya Click to expand... Safari hii day limepanda
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,355 Reaction score 23,059 Aug 26, 2025 #20 connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM, Msimamizi wa Uchaguzi: Mkurugenzi CCM Tume/Mwenyekiti/Makamu Mwenyekiti/Makamishna CCM Click to expand... Samson mahera aliyekuwa mkurugenzi wa tume naye yupo kwenye kinyang'anyiro. Tukumbuke ya mapuri omari mapuri
connections said: Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM, Msimamizi wa Uchaguzi: Mkurugenzi CCM Tume/Mwenyekiti/Makamu Mwenyekiti/Makamishna CCM Click to expand... Samson mahera aliyekuwa mkurugenzi wa tume naye yupo kwenye kinyang'anyiro. Tukumbuke ya mapuri omari mapuri