Kupendwa usipopendwa

Kupendwa usipopendwa

kipusatembo

Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
88
Reaction score
29
Hivi ni kwanini mara nyingi mtu unapotokea kumpenda mtu ndio unakuta hana muda na wewe hataa ama ndo anakujibu dry kisooo ila sasa inapotokea mtu hata humuwazi wala huna muda nae ndio anakugaanda na kukupenda mwisho wa siku unaishia kumuumiza na kuonenekana PLAYA ama KICHECHE.

Na mara nyingi wale wa kiume wakionaga manzi anajisogeza inakuaga ngumu sana kukataa.....

Kwanini iko hivo mara nyingi? yaani kupenda usipopendwa na kupendwa usipopenda?
 
when you see others get hurt because of love, you build up defences, you build up a whole suit of armor, so that nothing can hurt you, then one stupid person, no different from any other stupid person, wanders into your stupid life...You give them a piece of you as if they asked for it. They do something dumb one day, like kiss you or smile at you, and then your life isn't yours own anymore.
Love takes hostages. It gets inside you. It eats you out and leaves you crying in the darkness, so simple a phrase like 'maybe we should be just friends' turns into a glass splinter working its way into your heart. It hurts.

From the movie, "Enter the Matrix":
 
mie naomba maana ya jina lako kwanza kipusatembo

Hahahah hilo jina bwana wacha tu Mom Fay maana ake ni kwamba popote ukiona kipusa ujue tembo ameshauliwa muulize KI*NA*NA......... Anajua kiiila kitu.....

Afu Mom Fay ndo wewe wa Fay Pub pale Sinza amaaa??????
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi hayaeleweki yapo kama mchezo wa karata ukilamba Joker kwenye Albastini imekula kwako! Eti wanasema tunajifunza kupenda huyo alieonesha kukupenda kwa dhati wakati wewe hukuwa na muda nae ng'ang'ania huyo! Utampenda tu
 
Hahahah hilo jina bwana wacha tu Mom Fay maana ake ni kwamba popote ukiona kipusa ujue tembo ameshauliwa muulize KI*NA*NA......... Anajua kiiila kitu.....

Afu Mom Fay ndo wewe wa Fay Pub pale Sinza amaaa??????

Doooh basi hyo kipusaa imenipeleka mbali.
....daah haya bhana
Hyo pub mmmh atakuwa fay mwingine
 
hata mm celew unataka kukaa n kutulia n mwanaume,yy ndo haelewek..jnaume tabu ...ndo mna skuiz na relax aaaah burudani
 
Mapenzi hayaeleweki yapo kama mchezo wa karata ukilamba Joker kwenye Albastini imekula kwako! Eti wanasema tunajifunza kupenda huyo alieonesha kukupenda kwa dhati wakati wewe hukuwa na muda nae ng'ang'ania huyo! Utampenda tu
stable woman yaani kuna saa unajitahidi kupenda na kujifunza hadi mwisho ila moyo ndo unagooooma kabisaaa.
 
Last edited by a moderator:
hata mm celew unataka kukaa n kutulia n mwanaume,yy ndo haelewek..jnaume tabu ...ndo mna skuiz na relax aaaah burudani

Hahaha luisajr ni shidaaa.......... Aliegunduaga NO STRINGZ ATTACHED na FRIENDS WITH BENEFIT nampa gwara mpaka kesho maana alikua na akili huyoooo ach kabisaaa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mi ndo limenikuta huku naogopa kuambiwa naringa afu pia naogopa kuambiwa playa......... Sema yule nnae mpenda na yeye kama hanioni vileee

Ndugu maisha mafupi haya utakiwi kujipa stress zisizo na maana ww fata moyo unavyosema hayo mengine waachie wanadamu wataongea yatakwisha ila ndani ya nafsi upo huru!!! Ishi upendavyo mkuu
 
Hahaha luisajr ni shidaaa.......... Aliegunduaga NO STRINGZ ATTACHED na FRIENDS WITH BENEFIT nampa gwara mpaka kesho maana alikua na akili huyoooo ach kabisaaa.

ndo mana mm katika maisha yangu nalipenda neno la wazungu lnasema SOMETIMES YOU NEED TO RELAX and say ---- IT utaishi miaka mia8
 
Last edited by a moderator:
Ndugu maisha mafupi haya utakiwi kujipa stress zisizo na maana ww fata moyo unavyosema hayo mengine waachie wanadamu wataongea yatakwisha ila ndani ya nafsi upo huru!!! Ishi upendavyo mkuu

Sure hapo umenena mkuu sema sasa kumuumizaga mtu inakuaga ni shida zaidiii na inakuaga kama gundu ndo maana mtu ka simmind nampa makavu live. Waseme tu naringaa.
 
Back
Top Bottom