Kupendwa, Kujaliwa


dah! uliposema kwenye shule za wasichana umenikumbusha nilikuwa na mdogo wangu wa kishule shule yaani alikuwa ananijali mpaka nikawa najiskia vibaya. angekuwa ni mvulana ningesema labda anataka penzi. mie ilibidi nijifunze kulipa fadhila. dogo alikuwa akipata shida kama nina uwezo nayo namsaidia, siku zingine namtoa. natamani nionane nae tena pengine sahv ningeweza kulipa fadhila zaidi. kiukweli konnie mtu akikujali namna ya kukabiliana nayo ni wewe kumjali zaidi.
 

hata mimi enzi hizo njuka nishawahi kumpa dada yangu wa shule trakisuti mpya mi nikabaki sina etiii can u imagine huwa inatokea automatic hii hali ingawa kwa dunia ilipofikia mmmh lazima uwe na shaka mtu akikujali sana
 
hata mimi enzi hizo njuka nishawahi kumpa dada yangu wa shule trakisuti mpya mi nikabaki sina etiii can u imagine huwa inatokea automatic hii hali ingawa kwa dunia ilipofikia mmmh lazima uwe na shaka mtu akikujali sana

kiukweli inaleta mashaka ila nafikiri hiyo inatokana na namna unavyojibehave kwa huyo mtu/watu. dunia ya sahivi mtu akikujali ujue kuna kitu anataka. dada yako alikuwa kauzu. kaona huna nyingine lakini kaipokea hiyo. khaaa
 
kuna ----- mmoja samahani natumia neno ----- ,alimpa demu laptop na gari yeye akawa anapanda taxi au daladala
 
Mie yalinishinda kwa kweli, nikahama. Nimefika tu nikapigwa tongozo sijui anataka awe mama yangu, nikakubali. Basi nikawa napendwa mno, akinikuta usiku prepo kama sina sweta/koti anavua lake ananipa nivae, vizawadi mikate juisi na nini nini. Nkaona nisije kobolewa bure,


Ila kwa njia moja mapenzi hayo huchangia mahusiano ya jinsia moja, wengine hufikia point ya kukobolewa, kuna kabinti kamoja sijui kama papuchi ilibaki. Bora simba ale mie, si samaki asilani - Mr. Ebo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…