Ipo sana tu. Kupenda timu fulani mtu anakuwa na sababu zake. Nina rafiki mmoja yeye alikuwa anaipenda 5imba (kisa utani wa jadi na Yanga) na Ndanda FC (ya nyumbani kwao). Siku moja zilikuwa zinacheza pale Nangwanda Sijaona Mtwara. Alifika na jezi zote mbili hadi geti, lakini mwisho hakuingia uwanjani.Wadau hivi inawezekana mtu akashabikia timu 2 ligi moja mfano pale uingereza uwe unashabikia Liverpool mda huo huo unashabikia arsenal hivi hii kitu inawezekana kweli
Kwa Hilo sawa sababu kibongobongo tuna timu zetu za nyumbani je mtu wa bongo upende timIpo sana tu. Kupenda timu fulani mtu anakuwa na sababu zake. Nina rafiki mmoja yeye alikuwa anaipenda 5imba (kisa utani wa jadi na Yanga) na Ndanda FC (ya nyumbani kwao. Siku moja zilikuwa zinacheza pale Nangwanda Sijaona Mtwara. Alifika na jezi zote mbili hadi geti, lakini mwisho hakuingia uwanjani.
Duh nomaIpo sana tu. Kupenda timu fulani mtu anakuwa na sababu zake. Nina rafiki mmoja yeye alikuwa anaipenda 5imba (kisa utani wa jadi na Yanga) na Ndanda FC (ya nyumbani kwao. Siku moja zilikuwa zinacheza pale Nangwanda Sijaona Mtwara. Alifika na jezi zote mbili hadi geti, lakini mwisho hakuingia uwanjani.
Sawa sawainawezekana kama uliipenda timu A kwajili ya mchezaji then akaamia timu B, kama mashabiki wa ronaldo na messi wanaaenda nao kokote watakapo hamia, ila kama ni mfatiliaji mzuri wa mpira na kila mechi unaangalia, huwezi kushabikia timu mbili kubwa kwenye ligi moja, lazima kuna moja, labda kinachotokea ni ushabiki kwenye mechi moja moja, labda Man u vs Liverpool utakuta shabiki wa Arseno ataishangilia liver
1. Arsenal the GunnersIpo sana tu. Kupenda timu fulani mtu anakuwa na sababu zake. Nina rafiki mmoja yeye alikuwa anaipenda 5imba (kisa utani wa jadi na Yanga) na Ndanda FC (ya nyumbani kwao). Siku moja zilikuwa zinacheza pale Nangwanda Sijaona Mtwara. Alifika na jezi zote mbili hadi geti, lakini mwisho hakuingia uwanjani.
Sidhani kama neno malaya ni tusi. Hujawahi sikia funguo malaya?Sawa ila matusi punguza mzee
Siku city na chelsea wakicheza unakuwa wapi??Inawezekana! Mimi napenda Man City na muda huohuo Chelsea