yohana ramadhan
Member
- Jun 22, 2019
- 31
- 18
- Thread starter
-
- #41
Mnatupa kazi ngumu Sana kujadili mahusiano ya watoto hivi wewe na Akili zako ulimfikiriaje huyo binti alivyokua anakuhadidhia alivyotombwa wakati mmeachana huyo kichwani chenga +utoto mpaka ufe nimeona hapo juu unajitetea kwamba we sio mtoto lakini wewe ni mtoto Ngoma zenu hua hazikeshi tuliza Akili ujiulize kwamba wanaume wote Tanzania wanamahusiano na hako kabinti ukigundua kwamba sio ufikiri tena je Mimi Ndo mwenye Raha kwenye penzi zaidi ya wanaume wote ukigundua kwamba sio Basi utapata jibu by the way naona umeamua kua bushoke Kwa reason ya kusaidiwa kwahiyo mtaka cha uvunguni shariti ainame
Umemrudia kwa kuwa anakusaidia kiuchumi.
Jiandae atakuwa anakuacha na kukurudia
Wenzako wanaifurahia tena anaweza demand kama aliweka yeye. Vijana wa siku hizi wanalia lia sanaWanaume tumepungua sana. Utategemea je pesa ya mwansmke, lsbda mimi sio binadamu, siitski 100% pesa ya mwanamke
Nop sio kwamba kwa sababu ananisaidia ila ni kwel nampnda sana
Wenzako wanaifurahia tena anaweza demand kama aliweka yeye. Vijana wa siku hizi wanalia lia sana
Kupenda kuna mpaka ukiona unafanywa dodoki jiondoe mapema
Mapenzi ya kitu hayo, .Umemrudia kwa kuwa anakusaidia kiuchumi.
Jiandae atakuwa anakuacha na kukurudia
Namwomba mtoa mada kichwa cha uzi kingefaa kiweUmarioo mateso sanaa yani mwanamke mnarudiana anaanza kujitamba kuwa mlipoachana alitombesha sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji2089][emoji2089]
Namwomba mtoa mada kichwa cha uzi kingefaa kiwe
KUPENDA PESA SHIDA SANA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Namwomba mtoa mada kichwa cha uzi kingefaa kiwe
KUPENDA PESA SHIDA SANA
Kwamba kama nini???Demu wako anajua kuwa nikweli haupo sawa kiuchumi? Nakama anajua wewe wasiwasi wako nini haswa Wakat muolewaji anajua haupo sawa nawala hana neno. Au nyie ndio kwanjee mpo vzr ila kumbe ndani yanafsi zenu mmepauka kama mavi makavu