Kupenda shida sana

Kupenda shida sana

bt nampenda sana
I used to be like you Jody

Najua unampenda but before 25 atakupasua kichwa, anawaza harusi tu hapo bila hata kujua gharama ya ndoa ni nini. Mpe nafasi akomae kwanza, 21-24 ndio umri wa msichana kujiona beyonce na ataitafuta ndoa kwa kubadili mabwana kishenzi ila akifika 25 ataanza kuona vitu katika dimension tofauti kama mtu wa kuelewa na kutulia mtaenda sawa.
 
sawa asante ndugu yangu
I used to be like you Jody

Najua unampenda but before 25 atakupasua kichwa, anawaza harusi tu hapo bila hata kujua gharama ya ndoa ni nini. Mpe nafasi akomae kwanza, 21-24 ndio umri wa msichana kujiona beyonce na ataitafuta ndoa kwa kubadili mabwana kishenzi ila akifika 25 ataanza kuona vitu katika dimension tofauti kama mtu wa kuelewa na kutulia mtaenda sawa.
 
Mkuu kiukweli Huyo mwanamke vihela anavyokupa ndo vinafanya Awe na dharau na anajua hata akikuambia ndoa now huwezi so hiyo ndo ticket ya kuachana..!! miaka 22 mdogo sana huyo yani bado hajala rahaa ukizingatia wewe pesa huna aisee kazi unayoo
 
Ndg, yangu kiukweli wanaume kwa kipindi hiki nilazima sasa kabla hatujaingia kwenye mahusiano kupata ushauli kwanza maana wasichana wa siku hizi wanazingua sana hvyo ili kuepukana na magonjwa ya moyo kupata ushauri ni jambo la mhimu sana
 
Mnatupa kazi ngumu Sana kujadili mahusiano ya watoto hivi wewe na Akili zako ulimfikiriaje huyo binti alivyokua anakuhadidhia alivyotombwa wakati mmeachana huyo kichwani chenga +utoto mpaka ufe nimeona hapo juu unajitetea kwamba we sio mtoto lakini wewe ni mtoto Ngoma zenu hua hazikeshi tuliza Akili ujiulize kwamba wanaume wote Tanzania wanamahusiano na hako kabinti ukigundua kwamba sio ufikiri tena je Mimi Ndo mwenye Raha kwenye penzi zaidi ya wanaume wote ukigundua kwamba sio Basi utapata jibu by the way naona umeamua kua bushoke Kwa reason ya kusaidiwa kwahiyo mtaka cha uvunguni shariti ainame
 
Mnatupa kazi ngumu Sana kujadili mahusiano ya watoto hivi wewe na Akili zako ulimfikiriaje huyo binti alivyokua anakuhadidhia alivyotombwa wakati mmeachana huyo kichwani chenga +utoto mpaka ufe nimeona hapo juu unajitetea kwamba we sio mtoto lakini wewe ni mtoto Ngoma zenu hua hazikeshi tuliza Akili ujiulize kwamba wanaume wote Tanzania wanamahusiano na hako kabinti ukigundua kwamba sio ufikiri tena je Mimi Ndo mwenye Raha kwenye penzi zaidi ya wanaume wote ukigundua kwamba sio Basi utapata jibu by the way naona umeamua kua bushoke Kwa reason ya kusaidiwa kwahiyo mtaka cha uvunguni shariti ainame
Yani hiyo ni dharau sanaa...Mwana hajamwambia habari za kugonga wadada walipoachana kwa muda mrefu ila mwanamke amemwambia... Hicho kitoto shule hakitaki na kimechoka kukaa mtaani bure bure tu sasa mwana nae now hana uwezo wa kumtunza wala kumlea yani Jamaa atateseka mnoo sanaaa.. Mpaka atachakaaa..

USHAURI.
Muache huyo demu yani mpotezee jumla mkuu mademu wengi sana.
 
Back
Top Bottom