yohana ramadhan
Member
- Jun 22, 2019
- 31
- 18
- Thread starter
- #41
tobaaa..
Mnatupa kazi ngumu Sana kujadili mahusiano ya watoto hivi wewe na Akili zako ulimfikiriaje huyo binti alivyokua anakuhadidhia alivyotombwa wakati mmeachana huyo kichwani chenga +utoto mpaka ufe nimeona hapo juu unajitetea kwamba we sio mtoto lakini wewe ni mtoto Ngoma zenu hua hazikeshi tuliza Akili ujiulize kwamba wanaume wote Tanzania wanamahusiano na hako kabinti ukigundua kwamba sio ufikiri tena je Mimi Ndo mwenye Raha kwenye penzi zaidi ya wanaume wote ukigundua kwamba sio Basi utapata jibu by the way naona umeamua kua bushoke Kwa reason ya kusaidiwa kwahiyo mtaka cha uvunguni shariti ainame


