Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
20,345
Reaction score
42,070
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
 
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
Sawa mzanzibar, ila WA Tanganyika tunampenda
 
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
Huyo muuaji akifika 2027 kwenye hicho cheo basi Chinja ng'ombe wote wa ukoo wenu kufanya tambiko maana utakuwa ni muujiza wa aina yake.
 
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
Labda hiyo 2037 aongezewe kushika chibumbu chako! Watu tumechoka kuongozwa na andazi! Matako yako!
 
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
K*ma lako
 
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.

Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi 2037 ninamuunga mkono Simai kuwa kama kuna kirusi ndani ya serikali kidhibitiwe mapema sana. Ni sahihi kumtumbua huyo kiongozi anayeleta shida. Kama hawezi kwenda sawa na maono ya mama akae pembeni na kuwapisha wanaoweza kufanya kazi chini ya mama.

Kuna wapuuzi wasiojua vizuri madaraka ya Rais na mwenyekiti wa CCM wanaojiaminisha kuwa kuna mtu ndani ya serikali na CCM anaweza kuzinguana na Rais akashinda hiyo battle. Ninamshauri huyo aliyetajwa na Sumai kuomba radhi mapema sana offline kabla ya kujikuta akitembea kwa magoti kutoka mlango wa Ikulu hadi ofisini kwa Rais na asisikilizwe.
FB_IMG_1748360197313.jpg
 
Siku mwenyekiti mstaafu aliposimama na kumpitisha mgombea pekee huyo bimkubwa.
Alikiuwa CCM kifo cha kikatili palepale.
Alikinywesha sumu chama chenu Cha mauwaji.
Sasa kinakufa taratibu.

Huu mgogoro ni dalili ya 'failing vital organs of the dying body'.
CCM will never recover from this.
 
Back
Top Bottom