Kupenda shida sana

Kupenda shida sana

Joined
Jun 22, 2019
Posts
31
Reaction score
18
Wadau habarini, naombeni ushauri mwenzenu nina mpnzi wangu anaitwa Magreth tumeanza kitambo sana bt hapa kati tukaja kuzinguana kidogo ila kwa sana nipo nae

Ila kuna kitu sikiewi amenambia ukweli kuwa yupo na mm ila kwa kipindi ambacho tulikuwa tumetengana alikuwa na watu wengine ambao nao walizinguana ko anaona kama wanaume wote sawa tu ila mm nampenda sana tu na mala kibao tu nikikwama kwenye mambo yangu ananisaidia.

Ila ukweli kuwa kama bado hajatulia na kunambia kuwa nikitaka haya yote yaishe ni kwenda kwako kujitambulisha na kumuoa ila kwa sasa mimi sijawa sawa kiuchumi.

Nifanyaje?
 
kwa sasa 22
Ahaa huyo bado, mpaka akifika 25 atakaa kwa kutulia. Yupo kwenye fantasies age anatawaliwa na hisia(wenge) anatamani harusi hasa kama mtu wa mitandao. Bado mdg hajajitambua nini anataka kwa sasa.

Kama unampenda mueleweshe tu akiwa mbishi mpe nafasi aende akapigwe pigwa akiona hola atarudi tu kwako. Usimforce sana ila mueleweshe uhalisia ataporudi kwaninu imetokea hivyo.
 
Ahaa huyo bado, mpaka akifika 25 atakaa kwa kutulia. Yupo kwenye fantasies age anatawaliwa na hisia(wenge) anatamani harusi hasa kama mtu wa mitandao. Bado mdg hajajitambua nini anataka kwa sasa.

Kama unampenda mueleweshe tu akiwa mbishi mpe nafasi aende akapigwe pigwa akiona hola atarudi tu kwako. Usimforce sana ila mueleweshe uhalisia ataporudi kwaninu imetokea hivyo.
powa powa boss
 
Back
Top Bottom