<br />Naona directed kwa kaka zangu.... ila kwa mambo mengine jibu ni ndio... Mfano mie sio mpenzi wa Ndizi kama chakula for sizipendi.. but kuna wakati natamani.. nakula kwa hamu then sitaki tena mpaka hamu ije tena.... na yaweza chukua weeks au miezi...
<br />
<br />
kwanin uchague kitu ambacho haikipend?
<br />
<br />
kuna mtu ambaye hapendi kitu kizuri.
<br />Inabidi utambue kua kila kitu ni kizuri na kila kitu ni kibaya ikitegemewa na anae define sifa ya kitu husika... Hivo wee waweza ona hiki ni kizuri na wakipenda mwingine akaona ni kibaya na akakichukia... woote mkiwa na sababu za msingi... na kila mmoja akishangaa wee wakipendea nini na vice versa....
<br />Sio kila ambacho ukipendi ni kibaya... waweza ukawa hukipendi but once in a while ukataka ladha yake...
Wasichana huwa wanasema umenipenda au umenitaman!. Je unaweza kutamani kitu ambacho haujakipenda?. Mi nashndwa kuelewa kuwa unaweza kumtamani msichana ambae haumpendi.
Nawakilisha.
<br />Wasichana huwa wanasema umenipenda au umenitaman!. Je unaweza kutamani kitu ambacho haujakipenda?. Mi nashndwa kuelewa kuwa unaweza kumtamani msichana ambae haumpendi.<br />
Nawakilisha.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Ukimuona mdada beach amevaa bikini na umbile na uzuri wake unavutia; unaanza kufanya nini kwanza-: kumtamani au kumpenda?<br />
<br />
Una ndugu yako wa kike, she is ur best friend! Anaweza kuwa dada yako au cousin wako! Unampenda au una mtamani?<br />
<br />
Kuna Jirani au schoolmate wako, unamkubali kwa akili na mambo mengine mengi si mapenzi! Unampenda au unamtamani?<br />
<br />
Kuna kichaa (newly mentally sick 16yrs chick), amepita bustanini kwako naked bado hajawa mchafu mchafu! Utampenda au utamtamani?<br />
<br />
Una mke nyumbani mzuri kwa tabia na almost kila kitu! Ofisini kwako kuna kidada kizuri kwa sura umbile ila tabia hafai; anavaa kiuchokozi, anakaa kimtego, sauti ya kiuchokozi! Kaja ofisini kwako kakaa kwenye sofa mini skirt imepanda, mapaja kaachia, chupi hajavaa; utampenda au utamtamani?<br />
<br />
Hope this helps!
<br /><br /><br />
<br /><br />
ninavyojua ni kwamba vitu vyote unavyovitaman lazma utakuwa uwevipenda.
<br />
<br />
Unaweza usikichukie na wala usinipende, l mean ndizi sio favourite dish yako; lakini kuna siku una hamu nayo!
Naona muamzisha mada anacheza kwenye extreme 2 kupenda na kutokupenda (kuchukia)!